Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Ujinga acha wewe kijana, mie sina hata chembe!!!
Nasema hivi, peleka utoto mbali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga acha wewe kijana, mie sina hata chembe!!!
Mie sie ila wewe ndie!!Hii dunia ina watu wa hovyo sana,wewe ni sehemu yake.
Kunifika hilo ni lazima sina ubavu wa kulikwepa make ndiko tuelekeako, lkn siku ikifinika itakuwa kwa Sababu nyingine tu na sio hivi vijimafua!!!Kuna siku hata wewe yatakufika kwa familia ya kwenu hutatoa hizo kauli
Ni kweli kabisa mkuu!Matumizi ya hovyo ya mitandao
Hofu mliojaza mioyoni mwenu dhidi ya hivi vijimafua nasema hivi hofu ndo itakayopukutisha kama kuku wa mdondoNasema hivi, peleka utoto mbali.
Hofu mliojaza mioyoni mwenu dhidi ya hivi vijimafua nasema hivi hofu ndo itakayopukutisha kama kuku wa mdondo
Sawa bwanamdogo!!Kaa kwa kutulia dogo maana huna jipya.
Kauli mbaya sana hii...unajisikiaje baba yako watu wakiombea yamkute na yeye tuwe na vipimo na kauli zetu fisi tasa wewe.Bado Jiwe .
Ama akatangulia Baba yake kuna wakati mtu unakuwa na chuki mbaya sana suala la kuombea fulani afe ni zaidi ya roho mbaya.Unaweza tangulia wewe pia
I totally agree 100%Hili dude lipo Dodoma lazima lifanye maajabu yake tusubiri tu.
Kujificha nyuma ya keyboard na kutumia hizi ID kunawafanya watu wengine wajidhihirishe kwamba wao ni wabaya kuliko wale wanaowaombea mabaya.Ama akatangulia Baba yake kuna wakati mtu unakuwa na chuki mbaya sana suala la kuombea fulani afe ni zaidi ya roho mbaya.
Kabisa.Kujificha nyuma ya keyboard na kutumia hizi ID kunawafanya watu wengine wajidhihirishe kwamba wao ni wabaya kuliko wale wanaowaombea mabaya.