Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Omba Mungu yasikukute
RIP.
Tuchukue tahadhari uwingi wa hizi Ambulance zinazopita huku barabarani kwa siku sio kawaida aise hali ni mbaya Mungu atunusuru.
Kati ya wewe na Prof nani great thinker tunapost watu maarufu ktk kada muhimu huyu alikuwa nguli wa statistics hapa chuoni,Jamiiforums from great thinkers to Matangazo ya vifo? au ndo proposal hii ya kupambana na corona?
Profesa halisi au hawa wa jalalani?Hivi gharama ya profesa mmoja ni tsh ngapi
Kwani tanzia inahusu kifo kinachotokana na ugonjwa pekee?Misiba haijaanza Jana ipo tangu awali, sema hiki kipindi cha vijimafua vya corona watu mmekuwa attention na misiba, ndo maana kila msiba hata wa ajali watu mnaposit Uzi wa tanzia.
Prof kama prof!!! Gharama ya professor mmoja bei gani?Profesa halisi au hawa wa jalalani?
Believe me kuna wafia chama kule sikonge hawafanyi kitu bila kusikia kutoka chamani!!!Kwahiyo hadi uambiwe kwamba ipo!??
Pole.
Wakumbushe dude linapiga hata wanasiasa, maana wanajionaga wao wao mawinguni!!!Sio maprofesa tu,
hilo dude linapiga kote kote kama panga boi
Na hakuna aliyeomba Mungu akaendelea kuishi milele akiwa hapa duniani, Namaanisha, hata wewe Safari ni ileileOmba Mungu yasikukute
Huyu ndio kwanza leo namsikia, ebu tueleze unguli wake na miaka yakeMwanazuoni nguli Profesa James Lwelamira amefariki dunia leo asubuhi ktk hospital ya Benjamin Mkapa mkoani Dodoma ambapo alikuwa akipatiwa matibabu.
Chanzo cha kifo taarifa ya daktari bado haijatoka.
Kuna wasomi wengi wana tabia ya kujari sana au niseme sio watu wa kupuuzia maswala mbali mbali .sijaona tanzia ya ajari mkuu kuwa mkweli mambo si mambo alafu inapiga wanazuoni sana sijajua shida nini
Kila binadamu anathamani iwe Dr, Mwalimu, Mjeshi, Polisi n.k hata Prof lakini si kusema gharama zake ni kubwa kuliko wengineHivi gharama ya profesa mmoja ni tsh ngapi
Kila binadamu anathamani, ukichukulia ya huyu professor kuna wengine ni Dr, Ma Engineers n.k ns anathamani kubwa
Kwamba niombe Mungu nisijepata msiba inawezekana kweli hii? Binadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi ni chache mno, kila mtu mavumbini atarejea!!Omba Mungu yasikukute
Labda kwa Sababu nyingine lkn si hivi vijimafua!!Ngoja uondokewe na wanafamilia kadhaa kwa mwezi mmoja ndo utaelewa kama ni janga au vijimafua