TANZIA Profesa James Lwelamira wa Chuo cha Mipango-Dodoma afariki dunia hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma

Tanzania Hatuna Corona !!!

Gharika limenza .....wakati mwingine hata Kondoo huchaji kuwa Simba TAFAKARI
 
Misiba haijaanza Jana ipo tangu awali, sema hiki kipindi cha vijimafua vya corona watu mmekuwa attention na misiba, ndo maana kila msiba hata wa ajali watu mnaposit Uzi wa tanzia.
Kwahio imeongezeka, pungua au ipo kama kawaida ? Huenda mwezangu una data za kutosha kwahio kabla sijakushangaa naomba unifahamishe, sababu mimi kwa akili ya haraka haraka hii miezi naona kama ni above average.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…