donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I secondedNi nani huyo huko Dar & Dom
Huyu jamaa yaan ukimfuatilia utaishia kula mizizi tu!Binafsi sikuwah mwelewa na simwelewagi kabisa ana mikwara uchwala sana, Ni anatetemekewa sana mpaka aga nashangaa kunani[emoji28]
Tungoje Waje Maana Dar Es Salaam Na Ndugu Yake Dodoma Kuna Mambo SanaNi nani huyo huko Dar & Dom
Mtu usile kuku,kitimoto,ng'ombe, mbuzi, bata etc. Sasa sijui tule nyama ganiTatizo anaongea sana mpaka anaharibu
Anapiga siasa kwenye mambo muhimu ya afya.Mengi anayoongea hayana ukweli wowote,ni porojo tu.
Ni Mkurugenzi MNH, Dakitari mwenye maneno mengi ka winga wa K.koo.Ni nani huyo huko Dar & Dom
Apia?Mkewe huyo Jamani.
Kwanini? Ni daktari wa Nchi na mie mwananchi sijui?Huyu jamaa yaan ukimfuatilia utaishia kula mizizi tu!
Yaan ana biti sio za nchi hiiJamaa anatupeleka peleka balaa
Anataka wanaomsililiza wawe wembamba kama yeye!Huyu jamaa yaan ukimfuatilia utaishia kula mizizi tu!
😅😅😅tena Gospel.Huyu jamaa yaan ukimfuatilia utaishia kula mizizi tu!
Akiii!Apia?