Mkuu wala hatupoi, tunawaroga tu.Ndio daktari wa Vasco Dagama, likimtokea msijekuanza kutafuta wachawi ; maana nyie washirikina mnalala na maiti!
Vasco Dagama siku hizi haonekani kama zamani, sijui Janabi kamuambia nini kuhusu maradhi yake!
yapAisee ndio kumbukumbu zimekuja. Huyu ni mkewe anaitwa Sophia Byanaku alishawahi kushiriki mambo ya ulimbwende miaka hiyo
Mkuu hujanielewa, katika uongozi Si kila mtu huwa anaongea tu kwakuwa anajua kitu hatuendi hivyo...Mkuu unachanganya file. Taarifa maalum za serikali zinakuwa channeled kupitia kwa vyanzo rasmi. Lakini haipo limited kwamba ni LAZIMA ipitie kwa mtu fulani.
Isitoshe Prof Janabi ni Mkurugenzi wa NH. Anaposimama kama alama ya taasisi yake basi hawezi kuacha kuzungumza kwa sababu eti anayepaswa kuzungumza ni fulani. Hiyo haipo.
Kuna podcasts kibao, zinafanywa na Muhimbili National Hospital. Wanaozungumza ni wataalam, akiwemo Prot Janabi. Wala si msemaji wa MNH.
Kama anazungumza lengo lake mama likiwa kuleta awareness basi anapaswa kupongezwa. Watu kwenda kufanyiwa uchunguzi kama matokeo ya awareness waliyoipata basi ni jambo jema.
Na jambo la kheri ni kuwa, hawashauri waende Muhimbili au JKCC tu. Popote pale wanaweza kwenda.
Uzuri siku hizi mambo mengi yapo Youtube.Hiyo quote nimeiona. Naomba kupata uthibitisho kwamba ameyazungumza hayo.
Kwenye andiko langu nilikuambia, nimejaribu kutafuta video ili niweze kujihakikishia akizungumza. Lengo lilikuwa kutaka kupata usahihi huo. Sijafanikiwa.
Kwa kuwa wewe umehitimisha, basi tuwasilishie video yake akizungumza hayo.
Janabi anatutisha sana mi simsikiliziSawa
Lakini, hayo yote hayahalalishi Profesa kusema ukikojoa mkojo wa povu tayari una ugonjwa wa figo.
Tunakojoa mkojo wa povu miaka na miaka baada tu ya kunywa pombe, na ukiacha kunywa pombe mkojo unarudi kuwa hauna povu.
Anatengeneza panic isiyo na lazima.
Wataalam wa afya wanaoweka dondoo mitandaoni wakizidi, mikanganyiko itakua mingi, hii ni mbaya.Watanzania mna changamoto sana.
Kujali afya ama kutokujali ni uamuzi binafsi. Hakuna mtu atakuja kukushikia fimbo kuwa lazima ufanye hivi na vile.
Prof Janabi anajitahidi kutoa elimu (hata kama ni ndogo) ili walau kwa uchache wake, watu wawili watatu waache mtindo huo usiofaa. Na kweli wapo wanaobadilisha.
Sasa unataka aanze kutoa kitabu cha muongozo? Kama tu ushauri mdogo unakuletea ukakasi na kumuona hafai, je akileta kitabu? Si ndiyo utamuona shetwani?
Ndiyo, wapo watu wanafaidika sana. Kampuni za utengenezaji wa dawa wanategemea watu waumwe ndiyo faida iongezeke maradufu. Sasa kwani Prof Janabi anazipigia chapuo? La hasha!.
Bali anakushauri ili baadae usiwe mteja wa dawa na matibabu. Yeye kosa lake ni lipi?
Nashukuru sana kwa video.Uzuri siku hizi mambo mengi yapo Youtube.
Angalia hii video, anasema hili karibu na dakika ya 14, unaweza kuanzia dakika ya 13 upate kuingia kwenye comment kwa muktadha vizuri zaidi.
Jamani mtu akichokachoka, akikosa hamu ya kula au akikojoa mkojo wa povu tayari kashaingia kwenye chronic kidney disease?
View: https://www.youtube.com/live/L7LAYnDBtg4?si=cF84GTWd7UdH16z4
Hakuna popote aliposema dalili zote.Nashukuru sana kwa video.
Ukimsikiliza Prof Janabi kwa umakini anasema ukishaziona hizi dalili, basi ujue kuwa tayari umeshaingia kwenye wagonjwa wa figo.
Kazieleza dalili hizo zote. Na waka hajasema 'ukishaona dalili mojawapo kati ya hizo nyingi' basi tayari unakuwa mgonjwa.
Ukweli ni kuwa, ukishakuwa na dalili zote kwa pamoja, 99% tayari wewe ni mgonjwa wa figo. Siyo dalili moja ama mbili.
Hiyo ni TIBA. Wanaume mnashauriwa muwe na viumbe wengi wa aina hii ili muishi maisha marefu
Ingawa Kweli anatoa ushauri nasaha but he is an ALARMIST! The way he conveys his messages is very intimidating to his audiences!! Pengine kwavile ndio mganga wa Vasco Dagama ndio anajipa false confidence!Mkuu, unajua kusoma kwa ufahamu au hiyo sehemu una tatizo nayo?
Hii direct quote ya Profesa Janabi uliiona au uliiruka?
Amesema.
""Ukiwa na hizi dalili sio za mwanzo tena, tayari wewe umeingia kwenye ugonjwa wa Figo"
Mimi kwakweli sikubaliani na wewe.Sawa mtu ana jukumu na afya yake lakini atleast awe na basics za dos' and donts'.Kama hana uelewa mzuri wa mambo ya diet atajilia ovyo tu kwa minajili mizuri tu ya kutunza afya yake lakini kumbe anakosea.Kuna ubaya akitokea raia mwema mwenye weledi akamsaidia kwa kumpa elimu?Sawa hulipwi, basi sio chawa,
Ila jukumu la kujali afya ni la mtu binafsi aisee, na kama huyo jamaa angekua anajali sana angetengeneza muongozo mrefu unaojitosheleza.
Kwanza haya mambo ya vyakula unajua yalivyo shady, kuna makampuni yanafaidika watu wakiharibu afya zao.
Ila sawa tu, watu wengi tz hawapendi kukosoa mambo, ni kazi bure
Nyie ni haters,haters hawataisha duniani lakini kamwe hawatazuia watu wema kutenda wema.Ingawa Kweli anatoa ushauri nasaha but he is an ALARMIST! The way he conveys his messages is very intimidating to his audiences!! Pengine kwavile ndio mganga wa Vasco Dagama ndio anajipa false confidence!
Huyo Tuli yuko wapi!! Wananchi hatumuoni.Awajibishwe aisee kumbe yupo na jamii inazidi kuwa na obesity na NCDz!!Mkuu vizuri lakini Mwenye kazi hiyo Yupo ambaye ni Dr Ntuli Kapologwe ambaye anahusika na Public Awareness kuhusu Lishe na vingine vinavyohusu ulaji kwanini asiache mamlaka zinazohusika zifanye kazi..
Kama anaona hazifanyi kwanini Asishauri kwa sababu Naamini MNH wana kiti cha Ushari kwa wizara ya Afya atumie hicho..
MKuu nia ya Janabi Tangu akiwa JKCI ilikuwa ni kubring awareness ili wapate watu wengi wanaoenda kufanyiwa uchunguzi pale na kupata wateja wengi..
Hilo linafahamika...
Nia ya mtu unaipimaj?..
Na ndo maaana kwa kiapo hicho Kujitangaza kokote huhusishwa na uvunjaji wa Maadilu ya Kidaktari kwa sababu ni vigumu kupima nia Ya mtu...(Kama utakuwa kwenye Kada ya udaktari utanielewa nachosema)
Yeye anakula niniMtu usile kuku,kitimoto,ng'ombe, mbuzi, bata etc. Sasa sijui tule nyama gani