Profesa Janabi apuuzwe!

Profesa Janabi apuuzwe!

Ndio daktari wa Vasco Dagama, likimtokea msijekuanza kutafuta wachawi ; maana nyie washirikina mnalala na maiti!
Vasco Dagama siku hizi haonekani kama zamani, sijui Janabi kamuambia nini kuhusu maradhi yake!
Mkuu wala hatupoi, tunawaroga tu.

Ile dume ya tezi imemkamata shingo hachomoki. Anapenda kuishi kwenye mahandaki ya nishati mbolea🤣🤣
 
Mkuu unachanganya file. Taarifa maalum za serikali zinakuwa channeled kupitia kwa vyanzo rasmi. Lakini haipo limited kwamba ni LAZIMA ipitie kwa mtu fulani.

Isitoshe Prof Janabi ni Mkurugenzi wa NH. Anaposimama kama alama ya taasisi yake basi hawezi kuacha kuzungumza kwa sababu eti anayepaswa kuzungumza ni fulani. Hiyo haipo.

Kuna podcasts kibao, zinafanywa na Muhimbili National Hospital. Wanaozungumza ni wataalam, akiwemo Prot Janabi. Wala si msemaji wa MNH.

Kama anazungumza lengo lake mama likiwa kuleta awareness basi anapaswa kupongezwa. Watu kwenda kufanyiwa uchunguzi kama matokeo ya awareness waliyoipata basi ni jambo jema.

Na jambo la kheri ni kuwa, hawashauri waende Muhimbili au JKCC tu. Popote pale wanaweza kwenda.
Mkuu hujanielewa, katika uongozi Si kila mtu huwa anaongea tu kwakuwa anajua kitu hatuendi hivyo...

MNH iko chini ya Wizara ya Afya na haiko nuu yako kuna hierarchy mbalimbali na Kuna wasemaji mbalimbali kwenye kila Wizara...

Unafikiri ingeruhusiwa kila mtu aseme kwakuwa anajua Ingekuwaje?..

Ingekuwa chaos kila mahali kwakuwa Daktari huyu kasema hivi yule kasema vile yule kazuia hivi na yule karuhusu hiki..

Na ndo maana tuna Chain of protocol,Mabalaza ya kitaaluma, Mabaraza ya kibingwa na mabaraza mengi tu..

Yeye ni msimamizi ndiyo wa MNH, Je uliwahi kuwasikia wasimamizi wengine wakifanya hivyo??

Je unamsikia Msimamizi wa JKCI wengine wakiongea kama alivyokuwa anaongea yeye baada ya kuondoka..?

Kuna tofaufi kubwa sana kati ya utaalamu na Siasa..

Wapo wanaofanya hizo kazi na wameajiriwa kwa kazi hizo kwanini asiache watu wafanye kazi zao..
Na yeye akabaki mshahuri kwa sababu Ya chief Consultants yake..?

Viongozi wanashindwa kumwambia kwa sababu wanaepusha majibizano Ya kitaaluma ila Niamini kuwa hawapendi kiherehere Chake..

Msemaji wa Magonjwa ya Moyo Taifa yupo,Msemaji wa Lishe yupo, msemaji wa Mgonjwa yasiyo ya kuambukiza yupo..

Ili mpasa yeye kama Proff Janabi astick kwenye JD (Job description) yake kama Mkurugenzi wa MNH..

Hayo mengine awaachie Wizara ya Afya na CMO (Chied Medical officer- Mganga mkuu Taifa)..
wataamua..

Narudia Tena Kama anaona hawafanyi kazi kama inavyostahili... kwenye Baraza la Madaktari Muhimbili wana Kiti pale, wizara ya Afya muhimbili wana kiti chao hakuna Barza ambalo muhimbili hawana kiti kwanni asitumie mabaraza hayo kurekebisha...
 
Hiyo quote nimeiona. Naomba kupata uthibitisho kwamba ameyazungumza hayo.

Kwenye andiko langu nilikuambia, nimejaribu kutafuta video ili niweze kujihakikishia akizungumza. Lengo lilikuwa kutaka kupata usahihi huo. Sijafanikiwa.

Kwa kuwa wewe umehitimisha, basi tuwasilishie video yake akizungumza hayo.
Uzuri siku hizi mambo mengi yapo Youtube.

Angalia hii video, anasema hili karibu na dakika ya 14, unaweza kuanzia dakika ya 13 upate kuingia kwenye comment kwa muktadha vizuri zaidi.

Jamani mtu akichokachoka, akikosa hamu ya kula au akikojoa mkojo wa povu tayari kashaingia kwenye chronic kidney disease?


View: https://www.youtube.com/live/L7LAYnDBtg4?si=cF84GTWd7UdH16z4
 
Watanzania mna changamoto sana.

Kujali afya ama kutokujali ni uamuzi binafsi. Hakuna mtu atakuja kukushikia fimbo kuwa lazima ufanye hivi na vile.

Prof Janabi anajitahidi kutoa elimu (hata kama ni ndogo) ili walau kwa uchache wake, watu wawili watatu waache mtindo huo usiofaa. Na kweli wapo wanaobadilisha.

Sasa unataka aanze kutoa kitabu cha muongozo? Kama tu ushauri mdogo unakuletea ukakasi na kumuona hafai, je akileta kitabu? Si ndiyo utamuona shetwani?

Ndiyo, wapo watu wanafaidika sana. Kampuni za utengenezaji wa dawa wanategemea watu waumwe ndiyo faida iongezeke maradufu. Sasa kwani Prof Janabi anazipigia chapuo? La hasha!.

Bali anakushauri ili baadae usiwe mteja wa dawa na matibabu. Yeye kosa lake ni lipi?
Wataalam wa afya wanaoweka dondoo mitandaoni wakizidi, mikanganyiko itakua mingi, hii ni mbaya.
 
Uzuri siku hizi mambo mengi yapo Youtube.

Angalia hii video, anasema hili karibu na dakika ya 14, unaweza kuanzia dakika ya 13 upate kuingia kwenye comment kwa muktadha vizuri zaidi.

Jamani mtu akichokachoka, akikosa hamu ya kula au akikojoa mkojo wa povu tayari kashaingia kwenye chronic kidney disease?


View: https://www.youtube.com/live/L7LAYnDBtg4?si=cF84GTWd7UdH16z4

Nashukuru sana kwa video.

Ukimsikiliza Prof Janabi kwa umakini anasema ukishaziona hizi dalili, basi ujue kuwa tayari umeshaingia kwenye wagonjwa wa figo.

Kazieleza dalili hizo zote. Na waka hajasema 'ukishaona dalili mojawapo kati ya hizo nyingi' basi tayari unakuwa mgonjwa.

Ukweli ni kuwa, ukishakuwa na dalili zote kwa pamoja, 99% tayari wewe ni mgonjwa wa figo. Siyo dalili moja ama mbili.
 
Nashukuru sana kwa video.

Ukimsikiliza Prof Janabi kwa umakini anasema ukishaziona hizi dalili, basi ujue kuwa tayari umeshaingia kwenye wagonjwa wa figo.

Kazieleza dalili hizo zote. Na waka hajasema 'ukishaona dalili mojawapo kati ya hizo nyingi' basi tayari unakuwa mgonjwa.

Ukweli ni kuwa, ukishakuwa na dalili zote kwa pamoja, 99% tayari wewe ni mgonjwa wa figo. Siyo dalili moja ama mbili.
Hakuna popote aliposema dalili zote.

Ni muhimu sana kuwa clear kwenye mambo kama haya.

Huyu ananukuliwa sana, maneno yake yanaenda viral.
 
Mkuu, unajua kusoma kwa ufahamu au hiyo sehemu una tatizo nayo?

Hii direct quote ya Profesa Janabi uliiona au uliiruka?

Amesema.

""Ukiwa na hizi dalili sio za mwanzo tena, tayari wewe umeingia kwenye ugonjwa wa Figo"
Ingawa Kweli anatoa ushauri nasaha but he is an ALARMIST! The way he conveys his messages is very intimidating to his audiences!! Pengine kwavile ndio mganga wa Vasco Dagama ndio anajipa false confidence!
 
Sawa hulipwi, basi sio chawa,

Ila jukumu la kujali afya ni la mtu binafsi aisee, na kama huyo jamaa angekua anajali sana angetengeneza muongozo mrefu unaojitosheleza.

Kwanza haya mambo ya vyakula unajua yalivyo shady, kuna makampuni yanafaidika watu wakiharibu afya zao.

Ila sawa tu, watu wengi tz hawapendi kukosoa mambo, ni kazi bure
Mimi kwakweli sikubaliani na wewe.Sawa mtu ana jukumu na afya yake lakini atleast awe na basics za dos' and donts'.Kama hana uelewa mzuri wa mambo ya diet atajilia ovyo tu kwa minajili mizuri tu ya kutunza afya yake lakini kumbe anakosea.Kuna ubaya akitokea raia mwema mwenye weledi akamsaidia kwa kumpa elimu?
Hoja kwamba aandae kitini,sawa.Watu wetu unawajua kweli kuhusu culture ya kusoma!!?Na maandiko mengi tayari yapo lakini watu wana tabia ya kusoma?Tena pamoja na utu uzima wake prof anajitahidi sana na anafanya vizuri kutumia social media maana dunia ipo huko na wengi wapo huko.Sikuhizi hadi watu wa vijijini wapo socio media. Mimi bado nampongeza
 
Ingawa Kweli anatoa ushauri nasaha but he is an ALARMIST! The way he conveys his messages is very intimidating to his audiences!! Pengine kwavile ndio mganga wa Vasco Dagama ndio anajipa false confidence!
Nyie ni haters,haters hawataisha duniani lakini kamwe hawatazuia watu wema kutenda wema.
 
Mkuu vizuri lakini Mwenye kazi hiyo Yupo ambaye ni Dr Ntuli Kapologwe ambaye anahusika na Public Awareness kuhusu Lishe na vingine vinavyohusu ulaji kwanini asiache mamlaka zinazohusika zifanye kazi..

Kama anaona hazifanyi kwanini Asishauri kwa sababu Naamini MNH wana kiti cha Ushari kwa wizara ya Afya atumie hicho..

MKuu nia ya Janabi Tangu akiwa JKCI ilikuwa ni kubring awareness ili wapate watu wengi wanaoenda kufanyiwa uchunguzi pale na kupata wateja wengi..
Hilo linafahamika...

Nia ya mtu unaipimaj?..

Na ndo maaana kwa kiapo hicho Kujitangaza kokote huhusishwa na uvunjaji wa Maadilu ya Kidaktari kwa sababu ni vigumu kupima nia Ya mtu...(Kama utakuwa kwenye Kada ya udaktari utanielewa nachosema)
Huyo Tuli yuko wapi!! Wananchi hatumuoni.Awajibishwe aisee kumbe yupo na jamii inazidi kuwa na obesity na NCDz!!
Anyway,hata hivyo prof ni Mkurugenzi wa Muhimbili ,ni msemaji mkuu hivyo anaweza ku cut across...hahah
 
255622078224_status_a149ab7dffcf405886dc2790794de9fe.jpg
 
Back
Top Bottom