Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo sahihi kabisa Mimi ni mmoja wapo naishi kwa ulaji huo ambacho huwa naongezea ni viazi vitamu Mara kadhaa nakula
Ili usipatwe njaa huwa natafuna korosho au karanga
Juisi ya ukwaju na ubuyu wa unga
Chai yangu ni mdalasini na tangawizi nachemsha siku nyingine Natengeneza manjano na tangawizi
Mazoezi nnayofanya ni kutembea kwa wiki mara 3 mpaka 5 nusu saa mpaka lisaa
Nilibadili mfumo wa ulaji baada ya kupata gestational diabetes (sukari ya ujauzito) niltumia insulin Sana na high blood pressure kipind Cha ujauzito iliisha baada ya kujifungua iliisha kabisa ila nkaamua kubadilika kabisa na tofauti nimeiona
Anachoongea ni sahihi na ninakiishi mwili unahitaji kiwango kidogo sana sana Cha wanga
Wengi hushangaa why juice ya matunda ambayo ni natural pia haitakiwi??unakunywa kwa kiasi kidogo ili usiichoshe pancrease kuchakata hiyo sugar
(Everything in moderate)
Nimeanza mwaka jana mwezi wa 8 mwaka jana mpaka sasa nimepungua 11kgs from 80 kgs to 69kgsKwa hiy umeweza kupungua uzito?
Kwa kiasi gani labda?
Nimeanza mwaka jana mwezi wa 8 mwaka jana mpaka sasa nimepungua 11kgs from 80 kgs to 69kgs
Hakikisha unakuwa ndani na BMI inayotakiwa usipungue sana ukaflash minerals zote mwiliniHongera, ongeza bidii.
Mimi nilipungua toka 70 hadi 56kg,
Nikabadilisha mazingira ya ofisi, zikaongezeka mwenzangu hadi 66kg,
Sasa naanza kuweka nia na kuanza kukata shauri nifike 54-55 naona nitafurahia zaidi binafsi.
Kula matango na kutembea kulinisaidia kupungua haraka
Matango na matikiki haya yanakukeep more hydratedKula matango na kutembea kulinisaidia kupungua haraka
Sure sio mchezo kwa kweli mwanzoni inakuwa Kama mateso ila with time unazoea na kikubwa ni NiaSema yataka moyo hasa kuamua kufanya hivyo bila kuhimizwa na mtu yeyote Yule!
Yani mtu anatakiwa ajikane haswa!
Asikutishe wee piga zako CHIA SEEDS hakuna fat itasubutu kuota tumboni..Sasa kwa hapo mbona Prof ataniua jameni
Hata juice ya parachichi haifai??