Profesa Jay hongera kwa Kuoa ila mbona Mkeo katika Harusi muda wote alikuwa analazimisha furaha?

Maoni yako hayo kutoka kona yako.mbona umechanganya ni itikadi?hv mpaka leo hujaelewa kwa nn wanatoka nje wabunge?au ni sawa na wanaozuia maandamano ya cdm,ila ya mwenge harari.

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Ndoa ni siri... Tafakari

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
 
Mi nampongoza mhe. kwa kuwa na mke mrembo kidogo sio kama Sugu sijui alimuokota wapi yule dada mmh!
Huyo wa sugu ndo ulimuona juzi au unamfahamu kabla. ...ebu jaribu kutembelea page yake insta umuone anavyo jichetua. ..Mi nadhani anajioni bonge la demu sijui kama anajifahamu.
 
Huyo wa sugu ndo ulimuona juzi au unamfahamu kabla. ...ebu jaribu kutembelea page yake insta umuone anavyo jichetua. ..Mi nadhani anajioni bonge la demu sijui kama anajifahamu.

Namfahamu kitambo mwanyakyusa wana mambo!
 
Wanafunz Wa Shule Za Kata Mnaiharibu Jf. Ukute Umeangalia Pcha Moja Tu, Afu Unakmbilia Kuandika Uzi. Me Nlifkr Ulikuwepo Harusn! Weka Pcha Ya Demu Wako Tuone Km Anatabasamu Au La, Maana Kwa Post Hi Inaonekana Huwez Miliki Dem Af Akawa Na Furaha Maishani Mwake Labda Awe Mtambo(Network Search. . . .)
 
Wanafunz Wa Shule Za Kata Mnaiharibu Jf. Ukute Umeangalia Pcha Moja Tu, Afu Unakmbilia Kuandika Uzi. Me Nlifkr Ulikuwepo Harusn! Weka Pcha Ya Demu Wako Tuone Km Anatabasamu Au La, Maana Kwa Post Hi Inaonekana Huwez Miliki Dem Af Akawa Na Furaha Maishani Mwake Labda Awe Mtambo(Network Search. . . .)
 
Kama sio cerebral palsy inayokusumbua itakua hydrocephalus

Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
 
AF kuna mtu huko anasema nna bwanaangu sijui mpenzi wangu ni member jamii forum!
 
mmmh wewe mwanamke wewe!ina maana yule hafai kuolewa?

ukute wewe mwenyewe hapo hujaolewa kutwa kuswampa kwenye kitchen party za wenzio
Ukute na yeye ana sura baya halina kifani.
 
Lazima akose furaha, ana wasiwasi sana, akitoka kule alikoitwa KIA atakwenda na Mikumi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…