Ngushi
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 9,065
- 18,358
mmmh wewe mwanamke wewe!ina maana yule hafai kuolewa?Kanisa gani kuna wanawake dizaini ile?
ukute wewe mwenyewe hapo hujaolewa kutwa kuswampa kwenye kitchen party za wenzio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmh wewe mwanamke wewe!ina maana yule hafai kuolewa?Kanisa gani kuna wanawake dizaini ile?
mmmh wewe mwanamke wewe!ina maana yule hafai kuolewa?
ukute wewe mwenyewe hapo hujaolewa kutwa kuswampa kwenye kitchen party za wenzio
kazana mama mpaka vigimbi vikuote mwenzio keshakuwa mama sugu!Na hapa niko naenda kitchenpatini nakwambia
kazana mama mpaka vigimbi vikuote mwenzio keshakuwa mama sugu!
eeeh maaana hakuna namna! wewe tulikuonja mtandao pendwa tukakuacha uende!Hata mimi naona Sugu kazaliwa kwa mara ya pili...
Nadhani huo ndiyo ujumbe wa mtoa sred alitaka kuutoa. Huwa nafurahia JF maana mitusi huanza na baadaye ukweli unajitokeza mwisho au siyo GENTAMYCINEWajanja wa mjini wanasema eti mchepuko wake alikuwepo pale na hakupendezwa na kitendo chake kufika pale. Alituma mashosti wake wamfukuze ila jamaa alidinda na kubaki mpaka mwisho.
yaani sikufuru mheshiwa anachagua moja kati ya mbili,,faiza mzuri lakini akili zilimepelea ,,huyu mhuu labda kwingine yuko vizuri maana sio mpiga picha za chupi mitandaoniMi nampongoza mhe. kwa kuwa na mke mrembo kidogo sio kama Sugu sijui alimuokota wapi yule dada mmh!
eeeh maaana hakuna namna! wewe tulikuonja mtandao pendwa tukakuacha uende!
si unapenda kitonga
yaani sikufuru mheshiwa anachagua moja kati ya mbili,,faiza mzuri lakini akili zilimepelea ,,huyu mhuu labda kwingine yuko vizuri maana sio mpiga picha za chupi mitandaoni
Hata Mama Maria Nyerere hakuwahi kuwa na furaha alipokuwa Na Mme wake.Kawaida hata mama Janet magufuli hanaga furaha akiwa na mme wake
Utaumia sana ila ndo ishakuwa no matter what ashakuwa mama sugu! Period....!Ulionja tuu?!
Naona unaanza kutoa siri za mke/hawala aliyemkimbia mumewe halali kisa kutopenda mtandao na kwenda kumtunuku mhe aupakue kila siku...enhe leta siri nyingine
vipi wewe kwenye harusi yako ulivyokuwa unaolewa hukulazimisha furaha????Sikupata muda mzuri sana wa kukaa na kutulia kisha niipitie kwa ' umakini ' sana ' Sherehe ' nzima ya Harusi ya Mbunge wa Mikumi Mheshimiwa Msanii Joseph Haule a.k.a Profesa Jay hadi hii leo ambapo nimeweza kuipitia yote na hatimaye ' Kikubwa ' nilichokiona hasa kwa upande wa Mke wa Profesa Jay kiukweli mara zote alionekana ni Mtu mwenye mawazo, kukata tamaa na mara nyingi akilazimisha tu furaha hata pale akina Sugu, Lema na Msigwa walipojitahidi ' kumchangamsha '.
Je Profesa Jay au nyie ' Wageni ' waalikwa mliohudhuria ile ' Harusi ' ni kitu gani labda kilimfanya hadi Bibi Harusi ( Mkewe Profesa Jay ) muda mwingi kutokuwa mchangamfu, kununa na kucheka / kutabasamu kwa kulazimishwa / kujilazimisha?
Nilichofurahi tu katika ' Harusi ' ile ya Profesa Jay hakuna Mtu aliyegoma au kutoka ' Ukumbini ' au hata tu Kurusha Ngumi kama asilimia ( % ) kubwa ya ' Wageni ' waliokuwepo mule walivyobobea Kugoma na Kutoka ' Ukumbini ' katika ' Shughuli ' zingine za Ujenzi wa nchi.
Profesa Jay nasubiri jibu langu tafadhali hata kama upo ' Fungate ' kwa sasa.
Utaumia sana ila ndo ishakuwa no matter what ashakuwa mama sugu! Period....!
et "mrembo kidogo" dem mzur kushinda ukoo web mzima!Mi nampongoza mhe. kwa kuwa na mke mrembo kidogo sio kama Sugu sijui alimuokota wapi yule dada mmh!