Profesa Jay hongera kwa Kuoa ila mbona Mkeo katika Harusi muda wote alikuwa analazimisha furaha?

Profesa Jay hongera kwa Kuoa ila mbona Mkeo katika Harusi muda wote alikuwa analazimisha furaha?

Mwanamke amefanya send off jumamosi, jumapili kafanya harusi, plus anaonekana mjamzito.

Kiufupi walimu overdose sherehe,so alichoka kupita maelezo, sidhani kama unawezs kutabasamu ukiwa umechoka kupita kiasi.

Swali ni kwa nini waliunganisha send off na harusi? What the hurry?

"the highest risk should give maximum profit"
Kumbeee...basi sio kosa lake aiseeh ilikuwa ni lazima awe hivyo hakukuwa na namna.yani ulale saa nane za usiku then kukipambazuka uanze tena hekaheka za harusi!!lazima mtu achoke aseeh.
Ila dada ni mrembo bhana tuache matani.
Kama anakibendi kweli!amejitahidi sana aiseeh
 
Mleta hoja huo ni umbeya na majungu,kufuatilia ndoa za watu wengine.Tuwekee Clip ya ndoa yako kama unayo na sisi tuikosoe na uone kama utafurahi

Sent from my SM-A710F using JamiiForums mobile app
 
Mi nampongoza mhe. kwa kuwa na mke mrembo kidogo sio kama Sugu sijui alimuokota wapi yule dada mmh!
Umenena mwaya yani yule mke wa sugu mweh....sura ka jiwe la kusugulia miguu[emoji57] [emoji15]
Afadhali hata faiza alikua hajambo kidogo
 
Wewe yakuhusu nini?! Kama mke wako alifurahi au anafuraha basi hongera, ila kwanza chunguza furaha za mke wako isije akawa anakucheka wewe kwa yeye kufanya mambo yake bila wewe kujua!😉
 
Uzuri wa mwanamke sio urembo ni tabia eeeeh [emoji442][emoji443][emoji443][emoji443][emoji456][emoji447][emoji448][emoji441][emoji441]. Huwez jua rais wa Mbeya kampendea nini bibie Happy. Mapenzi ni zaidi ya uzuri wa sura [emoji12]


Tabia ipi??
labda ya ufi.waji
 
Kumbeee...basi sio kosa lake aiseeh ilikuwa ni lazima awe hivyo hakukuwa na namna.yani ulale saa nane za usiku then kukipambazuka uanze tena hekaheka za harusi!!lazima mtu achoke aseeh.
Ila dada ni mrembo bhana tuache matani.
Kama anakibendi kweli!amejitahidi sana aiseeh
Na huwenda jamaa alisimamia show siku ya send off....

"the highest risk should give maximum profit"
 
Sikupata muda mzuri sana wa kukaa na kutulia kisha niipitie kwa ' umakini ' sana ' Sherehe ' nzima ya Harusi ya Mbunge wa Mikumi Mheshimiwa Msanii Joseph Haule a.k.a Profesa Jay hadi hii leo ambapo nimeweza kuipitia yote na hatimaye ' Kikubwa ' nilichokiona hasa kwa upande wa Mke wa Profesa Jay kiukweli mara zote alionekana ni Mtu mwenye mawazo, kukata tamaa na mara nyingi akilazimisha tu furaha hata pale akina Sugu, Lema na Msigwa walipojitahidi ' kumchangamsha '.

Je Profesa Jay au nyie ' Wageni ' waalikwa mliohudhuria ile ' Harusi ' ni kitu gani labda kilimfanya hadi Bibi Harusi ( Mkewe Profesa Jay ) muda mwingi kutokuwa mchangamfu, kununa na kucheka / kutabasamu kwa kulazimishwa / kujilazimisha?

Nilichofurahi tu katika ' Harusi ' ile ya Profesa Jay hakuna Mtu aliyegoma au kutoka ' Ukumbini ' au hata tu Kurusha Ngumi kama asilimia ( % ) kubwa ya ' Wageni ' waliokuwepo mule walivyobobea Kugoma na Kutoka ' Ukumbini ' katika ' Shughuli ' zingine za Ujenzi wa nchi.

Profesa Jay nasubiri jibu langu tafadhali hata kama upo ' Fungate ' kwa sasa.


Wajanja wa mjini wanasema eti mchepuko wake alikuwepo pale na hakupendezwa na kitendo chake kufika pale. Alituma mashosti wake wamfukuze ila jamaa alidinda na kubaki mpaka mwisho.
 
GENTAMYCINE umelala kamanda maana sio kwa mitusi hiyo mwambwa..

Nimewachokoza ' makusudi ' baada ya kuona ' Jamvi ' la JF lilikuwa limedorora na kupoa hivyo nikatafuta tu mbinu ya ' kulichangamsha ' na kuwaamsha ' Wadau ' na nashukuru sasa naona baada ya kuweka huu ' uzi ' jamvi sasa limechangamka kama ambavyo nilitaka.

Huyu ndiyo GENTAMYCINE ' Talented and Charismatic Fella '.
 
Back
Top Bottom