Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona mkuu siku hizi tulivyogeuka wapumbavu? Eti kila kifo ni Corona!Huyu kifo chake kimesababishwa na ajali ya gari. Malimao yangesaidia nini hapo mkuu?
Hapo kwenye Mwl. Sio lazima Boss.. Issue Kubwa ni PhD na PublicationsUwe na PhD, pia uwe mwalimu, mtafiti, mwandishi nguli katika vyuo vya elimu ya juu.
umeishi usukumani mzee?
mashine ya kupigia nyunguTela la trekta, mashine ya kupigia nyungu n.k
of course mimi ni mtoto wa Mungu...hebu tutajie huvyi vituWakigundua kitu lazima waje kuripoti kwako wewe the almighty Pablo?
Baba D anasali kabla ya morning glory?
wewe ni mlokole?
Uwe na kadi ya CCM na kuilipia kwa miaka 5 mfululizo.Nitoeni tongotongo hivi kuwa profesa ni vigezo gani vitafanya uwe profesa
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] so my nigga you don't believe in God....I didn't know fam!! May the blood of Jesus save youWewe mtoto wa Mungu?
Who knows that lousy Mungu?
You know himself,donk think kila mwanadamu anamtambua huyo "Mungu"....
I dont subscribe to that nigga,keep him for yourself!Wewe ndio unamjua
Sipo obligated kuripoti chochote kwako!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ntarudiWewe unatakaje???
[emoji2960][emoji2960]Hii sura kama mhaya
USSR
Ngoja aje[emoji16][emoji16][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] so my nigga you don't believe in God....I didn't know fam!! May the blood of Jesus save you
Majuzi SUA nako Prof. Lusato Kurwigila kachomoka. Ni moja ya wakongwe mahiri nchini kwenye tasnia ya uzalishaji maziwa na mazao yake! RIP.Kipindi hiki Maprofesa wanatakiwa wasali Sana.
Kipindi hiki Maprofesa wanatakiwa wasali Sana.
Corona inapuputisha.
tuchukue tahadhari
Ila nilisikia ni ajali ya gari, wala siyo yule wa upumuaji