Profesa Kabudi aitambulisha dawa ya COVIDOL nchini Ufaransa, wenyeji wake waikubali na kuipokea

Covidol haikusaidia mumponya Meko
 


Angalia nyuma ya Dr Kitila, unamuona Dr Kabudi mwenye 😷 anaongea na Ndalichako.

Ndio ujue kwa unafiki tuu watanzania tumeshindikana.
 
Kumbe hii safari ndio alienda na Mke wa Mweusi wa 3??
 
Heri ameondolewa hiibwizara maana he was a total disgrace kwakweli na akakutana na kinjekitile basi akaona ndio fursa ya kumdanganya zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…