Profesa Kabudi atangaza kusambaza Singeli Dunia Nzima. Atatumia njia gani? Anajua mwenyewe

Ameshindwa kupeleka maji Kilosa anatafika huko duniani?
Hiyo singeli watoto wake wanacheza?
 
na Rais amemwacha tu hapo, huyu wa kutumbua kabisa.
 
Ni mwaka wa uchaguzi hakuna kituko tutaacha kuoneshwa
 
pesa ninazo za kutosha sana bro nashukuru Mungu kwa hilo. turudi kwenye mada naona nimeshakuweka sawa.
Unawaza ujinga mda wote acha ushamba huo , weka mada wakuchangia tuchangie matusi yanakuonyesha ni jinsi gani usivyojitambua sawaaa?
 
pendekezo lako ni nini? tuwe na muziki gani? huu wa singeli wa kukalia chupa? shetwan!
 
Unawaza ujinga mda wote acha ushamba huo , weka mada wakuchangia tuchangie matusi yanakuonyesha ni jinsi gani usivyojitambua sawaaa?
wenye akili washachangia ndugu, umebaki wewe tu kuongea yasiyoeleweka.
 
wenye akili washachangia ndugu, umebaki wewe tu kuongea yasiyoeleweka.
Wewe ni kilaza comment yako moja ya kuniita sijui mpalange imeonyesha ni jinsi gani akili yako inavyowaza ujinga jiheshimu bro / sister.
 
Wewe ni kilaza comment yako moja ya kuniita sijui mpalange imeonyesha ni jinsi gani akili yako inavyowaza ujinga jiheshimu bro / sister.
niliona unatetea singeli, nikakuuliza kama na wewe ndio wale wanaoingiliwa kinyume na maumbile jambo lilanohamasishwa sana na singeli? kosa langu liko wapo hapo sasa wakati uteteaji wako ndio umekutambulisha wewe mtu wa aina gani? hivi mwanaume halisi unaweza kutetea singeli? hujaona hata wanaume waimba singeli wamejichubua?
 
Nimesema ngoma nyingi za ki Africa watu wanacheza nusu uchi , wapi nimetetea singeli kwanz nazijua wapi hizo singeli? , kwa point uliyosema wanacheza nusu uchi tu , nikaweka na hiyo picha , kosa langu lipo wapi hapo?
 
Proffessors:- learn more and more about less and less till they , practically, know everything about nothing.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…