Ameshindwa kupeleka maji Kilosa anatafika huko duniani?Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Aidan Kabudi, amesema Tanzania ina mpango wa kuutangaza muziki wa Singeli kimataifa ili kuufanya kuwa alama ya utambulisho wa Mtanzania.
Kabudi alitoa kauli hiyo leo alipotembelea Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), ambapo alipokelewa na wafanyakazi mbalimbali wa taasisi hiyo.
na Rais amemwacha tu hapo, huyu wa kutumbua kabisa.Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Aidan Kabudi, amesema Tanzania ina mpango wa kuutangaza muziki wa Singeli kimataifa ili kuufanya kuwa alama ya utambulisho wa Mtanzania.
Kabudi alitoa kauli hiyo leo alipotembelea Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), ambapo alipokelewa na wafanyakazi mbalimbali wa taasisi hiyo.
My take:
Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Profesa Kabudi, ambaye kumbukumbu zinaonyesha kwamba hajawahi kucheza singeli mahali popote kwao Morogoro wala Dar es Salaam, Ametangaza kuipeleka Singeli (Muziki wa Wasela) Duniani kote.
Bali hakusema mbinu ambayo atatumia kusambaza muziki huo wa Uswahili na usio na maadili ili ukubalike Duniani, ambapo nyimbo yake Maarufu inaitwa "Hainaga Ushemeji"
Zaidi Mh Kabudi huyu hapa
Ni mwaka wa uchaguzi hakuna kituko tutaacha kuoneshwaWaziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Aidan Kabudi, amesema Tanzania ina mpango wa kuutangaza muziki wa Singeli kimataifa ili kuufanya kuwa alama ya utambulisho wa Mtanzania.
Kabudi alitoa kauli hiyo leo alipotembelea Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), ambapo alipokelewa na wafanyakazi mbalimbali wa taasisi hiyo.
My take:
Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Profesa Kabudi, ambaye kumbukumbu zinaonyesha kwamba hajawahi kucheza singeli mahali popote kwao Morogoro wala Dar es Salaam, Ametangaza kuipeleka Singeli (Muziki wa Wasela) Duniani kote.
Bali hakusema mbinu ambayo atatumia kusambaza muziki huo wa Uswahili na usio na maadili ili ukubalike Duniani, ambapo nyimbo yake Maarufu inaitwa "Hainaga Ushemeji"
Zaidi Mh Kabudi huyu hapa
kwa hiyo huu uchafu wa kizaramo nani aupende?View attachment 3241620
Hii ina views trillion 30 🤣 kaangalieni mbubujikwe na michozi 😄
Unawaza ujinga mda wote acha ushamba huo , weka mada wakuchangia tuchangie matusi yanakuonyesha ni jinsi gani usivyojitambua sawaaa?pesa ninazo za kutosha sana bro nashukuru Mungu kwa hilo. turudi kwenye mada naona nimeshakuweka sawa.
pendekezo lako ni nini? tuwe na muziki gani? huu wa singeli wa kukalia chupa? shetwan!Tanzania haina iconic music unaoitambulisha kimataifa kwenye upande wa sanaa.
Arabs wote wana Aina yao ya music.
Spanish pia Wana aina yao ya music.
DRC Wana lingala yao.
Nigerians wana Music wao.
SA wana kwaito na mapiano sijui.
Tanzania tunadandiadandia tu hatueleweki.
wenye akili washachangia ndugu, umebaki wewe tu kuongea yasiyoeleweka.Unawaza ujinga mda wote acha ushamba huo , weka mada wakuchangia tuchangie matusi yanakuonyesha ni jinsi gani usivyojitambua sawaaa?
Wewe ni kilaza comment yako moja ya kuniita sijui mpalange imeonyesha ni jinsi gani akili yako inavyowaza ujinga jiheshimu bro / sister.wenye akili washachangia ndugu, umebaki wewe tu kuongea yasiyoeleweka.
niliona unatetea singeli, nikakuuliza kama na wewe ndio wale wanaoingiliwa kinyume na maumbile jambo lilanohamasishwa sana na singeli? kosa langu liko wapo hapo sasa wakati uteteaji wako ndio umekutambulisha wewe mtu wa aina gani? hivi mwanaume halisi unaweza kutetea singeli? hujaona hata wanaume waimba singeli wamejichubua?Wewe ni kilaza comment yako moja ya kuniita sijui mpalange imeonyesha ni jinsi gani akili yako inavyowaza ujinga jiheshimu bro / sister.
Nimesema ngoma nyingi za ki Africa watu wanacheza nusu uchi , wapi nimetetea singeli kwanz nazijua wapi hizo singeli? , kwa point uliyosema wanacheza nusu uchi tu , nikaweka na hiyo picha , kosa langu lipo wapi hapo?niliona unatetea singeli, nikakuuliza kama na wewe ndio wale wanaoingiliwa kinyume na maumbile jambo lilanohamasishwa sana na singeli? kosa langu liko wapo hapo sasa wakati uteteaji wako ndio umekutambulisha wewe mtu wa aina gani? hivi mwanaume halisi unaweza kutetea singeli? hujaona hata wanaume waimba singeli wamejichubua?
Viongozi wamepinda balaaTanzania tumetisha sana😀