Profesa Kabudi awasili Nchini Ufaransa kwa ziara ya kikazi

Atakuwa amekwenda kuweka order ya mabomu,helicopter na mibunduki ya kupambana na wale jamaa wa Msumbiji + kijichanja ili aendelee kutembea bila bakora kuwatoa kafara wadanganyika
 
Asemwe na nani huyo mzee wa kujipendekeza kwa jiwe? Kama China mwenyewe anaogopa kuwekeza Tz ndio itakuwa hao wafaransa?
Masuala ya uwekezaji yametoka wapi, mmepaniki kumuona walahi, uwekezaji? Nani kakwambia kafuata masuala ya uwekezaji, wachawi roho zinawauma kumuona jamaa anatembea.
 
Asemwe na nani huyo mzee wa kujipendekeza kwa jiwe? Kama China mwenyewe anaogopa kuwekeza Tz ndio itakuwa hao wafaransa?
Unataka ajipendekeze kwako? acha hizo Jiwe kampa maisha lazima amuangalie tofauti na hili ni kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…