Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnapenda sana ramli chonganishi, tatizo ni nini?Atakuwa amekwenda kuweka order ya mabomu,helicopter na mibunduki ya kupambana na wale jamaa wa Msumbiji
Asingesemwa? Na nani, nyumbus, sio kusemwa, mmedanganywa na kigogo wenu.Unafikiri Mipango asingesemwa angetuambia kama anaumwa kweli?
Hii ni hatariMasuala ya uwekezaji yametoka wapi, mmepaniki kumuona walahi, uwekezaji? Nani kakwambia kafuata masuala ya uwekezaji, wachawi roho zinawauma kumuona jamaa anatembea.
Masuala ya uwekezaji yametoka wapi, mmepaniki kumuona walahi, uwekezaji? Nani kakwambia kafuata masuala ya uwekezaji, wachawi roho zinawauma kumuona jamaa anatembea.
Eti mzee boya, wakati wewe ni boya zaidi yake, upo tu nyuma ya keyboard spewing hate to a successfully individual whom you're not even worth tying his shoelaces. Get a life nyumbu.Kwanza hilo suala kuwa anaumwa ndio nasikia kwako. Yaani nipanick kwa kuliona hilo zee boya, labda kama hujui maana ya kupanick.
Eti mzee boya, wakati wewe ni boya zaidi yake, upo tu nyuma ya keyboard spewing hate to a successfully individual whom you're not even worth tying his shoelaces. Get a life nyumbu
good morning baberu [emoji40]View attachment 1706289
Sio wanaendaga........... kumbe anawatumaga kwa mabeberu?Kumbe huwa wanaendaga kwa mabeberu,,,,,,,
Ahahaaaaaaaaaaaaaa, eti Novida! Halafu mbona kavaa barakoa wakati akiwa na JIWE wanasema hawawezi kuvaa barakoaSio Madagascar tena sasa ni nchini Ufaransa hali ikishakuwa tete sio. Tusubiri atarudi na chanjo au Novida tena.
Wachawi mlisema huyu hawezi kuvaa barakoa, kiko wapi?Wachawi mlikuwa mnasema huyu waziri kaugua, kiko wapi
Anamsujudia beberu. Hongera zake.Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) jana aliwasili nchini Ufaransa na kupokelewa na mwenyeji wake Waziri wa Ulaya na Mambo ya Nje wa Ufaransa. Jean Yves Le Drian
View attachment 1706279View attachment 1706280
Kumbe huw wanawasujudioa mabeberu!Watu wanafanya kazi, mnawasingizia wa naugua, wakiendelea na kazi zao, eti wamesemwa sana, wameamua kutoka, wapuuzi sana nyinyi watu
Huenda anasema chondechonde!!!Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) jana aliwasili nchini Ufaransa na kupokelewa na mwenyeji wake Waziri wa Ulaya na Mambo ya Nje wa Ufaransa. Jean Yves Le Drian
![]()