Barakoa imemkaa vizuri! Wakiwa na sisi huku wanasema hawavai barakoa. Huyu akirudi huku sharti avae barakoa ili asituambukize Corona na mimate yake itokayo kwenye domo lake lile kubwaMasuala ya uwekezaji yametoka wapi, mmepaniki kumuona walahi, uwekezaji? Nani kakwambia kafuata masuala ya uwekezaji, wachawi roho zinawauma kumuona jamaa anatembea.
Huna hoja jamaa, kajipange upyaBarakoa imemkaa vizuri! Wakiwa na sisi huku wanasema hawavai barakoa. Huyu akirudi huku sharti avae barakoa ili asituambukize Corona na mimate yake itokayo kwenye domo lake lile kubwa
huyo jamaa wa nyuma kama Dr KayandabilaWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) jana aliwasili nchini Ufaransa na kupokelewa na mwenyeji wake Waziri wa Ulaya na Mambo ya Nje wa Ufaransa. Jean Yves Le Drian
View attachment 1706279View attachment 1706280
Mbona Novida😂😂😂Sio Madagascar tena sasa ni nchini Ufaransa hali ikishakuwa tete sio. Tusubiri atarudi na chanjo au Novida tena.
Fight against terrorism ni kete muhimu sana kwa watawala wa CCM; imetumiwa mara zote kupora ushindi wa Maalim huko visiwani.Paris, 18 Feb. 2021
During this meeting, the minister underscored the importance of Tanzania’s role in East Africa, notably with respect to regional integration and the fight against terrorism.
Source : Tanzania – Meeting between Jean-Yves Le Drian and his counterpart (Paris, 18 Feb. 2021)
Hii sio ramli bwana mdogo,hizi taarifa ziko wazi kabisaMnapenda sana ramli chonganishi, tatizo ni nini?
Mbona amevaa barakoa kulikoni?Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) jana aliwasili nchini Ufaransa na kupokelewa na mwenyeji wake Waziri wa Ulaya na Mambo ya Nje wa Ufaransa. Jean Yves Le Drian
View attachment 1706279View attachment 1706280
Baada ya reli ya kati mpya kujengwa, Total ndiyo inajenga pipeline ya uganda na ilinunua BP za zamani Ufaransa inaona Tanzania ni muhimu kwa mambo yake.Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) jana aliwasili nchini Ufaransa na kupokelewa na mwenyeji wake Waziri wa Ulaya na Mambo ya Nje wa Ufaransa. Jean Yves Le Drian
View attachment 1706279View attachment 1706280
Wachawi mlikuwa mnasema huyu waziri kaugua, kiko wapi
Watu wanafanya kazi, mnawasingizia wa naugua, wakiendelea na kazi zao, eti wamesemwa sana, wameamua kutoka, wapuuzi sana nyinyi watu
[/QUOTE
Anatembea kwa mabeberu.Masuala ya uwekezaji yametoka wapi, mmepaniki kumuona walahi, uwekezaji? Nani kakwambia kafuata masuala ya uwekezaji, wachawi roho zinawauma kumuona jamaa anatembea.
Kwani Lissu wa chadema yuko wapi?Kumbe huwa wanaendaga kwa mabeberu,,,,,,,
Propesa wa jalalani aka mzee wa tashwishwiHuyo jamaa muongo muongo sana aisee..
Dah..
Nikikumbuka zile Mbwembwe za Madagascar nachekaga sana
Anapaswa kukamatwa kwa uhujumu uchumiHuyo jamaa muongo muongo sana aisee..
Dah..
Nikikumbuka zile Mbwembwe za Madagascar nachekaga sana
Afadhali amevaa barakoa kwa sababu kule kuna covid-19Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) jana aliwasili nchini Ufaransa na kupokelewa na mwenyeji wake Waziri wa Ulaya na Mambo ya Nje wa Ufaransa. Jean Yves Le Drian
View attachment 1706279View attachment 1706280
Una akili kuzidi kuku, atakuja na kimbinyiko bus.Sijui atakuja na nn