Profesa Kabudi kamuingiza chaka na Rais Samia?

Profesa Kabudi kamuingiza chaka na Rais Samia?

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1686589630075.png

Kama ilivyokuwa wakati wa biashara ya Korosho wakati ule wa utawala wa the late emperor chuma mwendazake jiwe Magufuli, tukapigwa na kitu kizito na korosho hazikuuzika. Tukapigwa kwenye mikataba ya ACACIA na Barick, kabudi huyu huyu alikuwepo.

Na sasa ni yeye tena au kasingiziwa?
 
View attachment 2655254
Kama ilivyokuwa wakati wa biashara ya Korosho wakati ule wa utawala wa the late emperor chuma mwendazake jiwe Magu, tukapigwa na kitu kizito na korosho hazikuuzika. Tukapigwa kwenye mikataba ya ACACIA na Barick, kabudi huyu huyu alikuwepo.

Na sasa ni yeye tena au kasingiziwa?
Hawa si ndio wasaidizi wa mama wamepewa kazi maalum ikulu?
 
Back
Top Bottom