Profesa Kabudi kamuingiza chaka na Rais Samia?

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826

Kama ilivyokuwa wakati wa biashara ya Korosho wakati ule wa utawala wa the late emperor chuma mwendazake jiwe Magufuli, tukapigwa na kitu kizito na korosho hazikuuzika. Tukapigwa kwenye mikataba ya ACACIA na Barick, kabudi huyu huyu alikuwepo.

Na sasa ni yeye tena au kasingiziwa?
 
Hawa si ndio wasaidizi wa mama wamepewa kazi maalum ikulu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…