Profesa Kabudi, nenda Madagascar ukatuletee miche ya Vanilla

Profesa Kabudi, nenda Madagascar ukatuletee miche ya Vanilla

viking

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
2,183
Reaction score
1,322
Nchi ya Madagscar inasifika sana kwa ulimaji wa zao la vanilla. Zao hili linawaongezea kipato kikubwa sana raia wa Madagascar kwani kilo moja inafika karibu dola 600 za Kimarekani.

Nakumbuka sana Profesa Kabudi aliporudi na mitishamba ya Corona toka Madagascar kwa mbwembe nyingi sana na kulihutubia Taifa.

Alikusanya jopo la maprofesa na madaktari kwamba watashughulikia utafiti wa mitishamba hiyo toka Madagascar kama inatibu Corona.

Mpaka leo hakuna taarifa za matokeo ya uchunguzi huo. Kwa kifupi Mitishamba hiyo haitibu kwani Madagascar sasa hivi wanalia na maambukizi ya Corona.

Naomba Profesa Kabudu urudi tena Madagascar ukatuletee miche ya Vanilla ili wananchi tuinue kipato chetu, tutakukumbuka sana ukituletea miche ya vanilla.
 
Mtu kama wewe ambae hauna taarifa za mambo mengi ya nchi yako kuhusu kilimo huna moral authority ya kumshambulia na kumkosoa Prof. Kabudi kama ulivyofanya hapa.

FYI, aina ya Vanilla inayolimwa Madagascar ipo kwa wingi tu inalimwa mkoani Kagera. Hakuna haja ya kwenda kufuata mbegu za vanilla nchi nyingine.
Na vanilla kabila hiyo ndiyo bora zaidi duniani, inalimwa kwa wingi pia nchi jirani ya Uganda kiasi kwamba wanunuzi wakubwa wa vanilla ya Kagera wanatoka Uganda. Labda mshauri waziri wa kilimo akafanye hamasa ya miradi mikubwa ya kulima vanilla kibiashara zaidi kule Kagera. Ukitaka vanilla tuber cuttings kwa ajili ya mbegu wewe sema tukuuzie.
Pia ungeshauri watanzania wasiuze vanilla pods mbichi bali wafanye vanilla cure and vanillin extraction process hapa hapa nchini na kuuza bei ya soko la dunia.
 
Mtu kama wewe ambae hauna taarifa za mambo mengi ya nchi yako kuhusu kilimo huna moral authority ya kumshambulia na kumkosoa Prof. Kabudi kama ulivyofanya hapa.

FYI, aina ya Vanilla inayolimwa Madagascar ipo kwa wingi tu inalimwa mkoani Kagera. Hakuna haja ya kwenda kufuata mbegu za vanilla nchi nyingine.
Na vanilla kabila hiyo ndiyo bora zaidi duniani, inalimwa kwa wingi pia nchi jirani ya Uganda kiasi kwamba wanunuzi wakubwa wa vanilla ya Kagera wanatoka Uganda. Labda mshauri waziri wa kilimo akafanye hamasa ya miradi mikubwa ya kulima vanilla kibiashara zaidi kule Kagera. Ukitaka vanilla tuber cuttingskwa ajili ya mbegu wewe sema tukuuzie.
Pia watanzania wasiuze vanilla pods mbichi bali wafanye vanilla cure and vanillin extraction process hapa hapa nchini na kuuza bei ya soko la dunia.

Pia Pemba, nilionea huko for the first time
 
Hujui kama Kuna watu wanalima vanilla hko kagera na bukoba tena Kuna wakati wakulima ikifika karibia
Na kuvuna wanalinda mashamba yao kwa ulinzi mkali sna....
Wewe labda ungeishauri serikali iwasisitize na kuweka nguvu kubwa watu walime zao Hilo
Kwani hata mbeya, tukuyu, moro vijijini zao Hilo likilimwa linakubali
Nna ushahidi kna mtu alienda kijiji cha rubale na alichkua miche ya vanilla na alienda kujaribu kupanda tukuyu mbeya na ilikubali, jamaa alikuwa na plan ya kufanya mradi huo huko mbeya ila bahati mbaya jamaa alikujaga kufariki
Tatizo watz siyo watu wa kufatilia mambo na kutekeleza
We washauri serikali ikazanie watu walime vanila
Maana Kuna maeneo mengi inakubali

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Nchi ya Madagscar inasifika sana kwa ulimaji wa zao la vanilla. Zao hili linawaongezea kipato kikubwa sana raia wa Madagascar kwani kilo moja inafika karibu dola 600 za Kimarekani.

Nakumbuka sana Profesa Kabudi aliporudi na mitishamba ya Corona toka Madagascar kwa mbwembe nyingi sana na kulihutubia Taifa.

Alikusanya jopo la maprofesa na madaktari kwamba watashughulikia utafiti wa mitishamba hiyo toka Madagascar kama inatibu Corona.

Mpaka leo hakuna taarifa za matokeo ya uchunguzi huo. Kwa kifupi Mitishamba hiyo haitibu kwani Madagascar sasa hivi wanalia na maambukizi ya Corona.

Naomba Profesa Kabudu urudi tena Madagascar ukatuletee miche ya Vanilla ili wananchi tuinue kipato chetu, tutakukumbuka sana ukituletea miche ya vanilla.
Vanilla inalimwa mkoa wa Mbeya Kyela, mkoa wa Kagera na mkoa wa Morogoro, sasa wewe unataka vanilla ipi inayotibu Corona?
Asante kwa kushiriki kuandika.
 
Hujui kama Kuna watu wanalima vanilla hko kagera na bukoba tena Kuna wakati wakulima ikifika karibia
Na kuvuna wanalinda mashamba yao kwa ulinzi mkali sna....
Wewe labda ungeishauri serikali iwasisitize na kuweka nguvu kubwa watu walime zao Hilo
Kwani hata mbeya, tukuyu, moro vijijini zao Hilo likilimwa linakubali
Nna ushahidi kna mtu alienda kijiji cha rubale na alichkua miche ya vanilla na alienda kujaribu kupanda tukuyu mbeya na ilikubali, jamaa alikuwa na plan ya kufanya mradi huo huko mbeya ila bahati mbaya jamaa alikujaga kufariki
Tatizo watz siyo watu wa kufatilia mambo na kutekeleza
We washauri serikali ikazanie watu walime vanila
Maana Kuna maeneo mengi inakubali

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Upo sahihi 100%.
Nahisi Tukuyu itakubali sana.
 
Vanilla inalimwa mkoa wa Mbeya Kyela, mkoa wa Kagera na mkoa wa Morogoro, sasa wewe unataka vanilla ipi inayotibu Corona?
Asante kwa kushiriki kuandika.
Yeah, Nilisikia Morogoro pia wanalima vanilla.
 
Mbona bukoba na misenyi huko kagera wanalima Sana vanilla na kilo moja 100000 .

Changamoto ni wizi Tu. Maana inahitaji ulinzi Sana ikiwa imepandwa.


Vanilla,kahawa,ndizi nk vimefanya mkoa wa kagera kuwa wa tatu Kwa idadi ya watu nchini na population density pia
 
Mtu kama wewe ambae hauna taarifa za mambo mengi ya nchi yako kuhusu kilimo huna moral authority ya kumshambulia na kumkosoa Prof. Kabudi kama ulivyofanya hapa.

FYI, aina ya Vanilla inayolimwa Madagascar ipo kwa wingi tu inalimwa mkoani Kagera. Hakuna haja ya kwenda kufuata mbegu za vanilla nchi nyingine.
Na vanilla kabila hiyo ndiyo bora zaidi duniani, inalimwa kwa wingi pia nchi jirani ya Uganda kiasi kwamba wanunuzi wakubwa wa vanilla ya Kagera wanatoka Uganda. Labda mshauri waziri wa kilimo akafanye hamasa ya miradi mikubwa ya kulima vanilla kibiashara zaidi kule Kagera. Ukitaka vanilla tuber cuttings kwa ajili ya mbegu wewe sema tukuuzie.
Pia ungeshauri watanzania wasiuze vanilla pods mbichi bali wafanye vanilla cure and vanillin extraction process hapa hapa nchini na kuuza bei ya soko la dunia.
Kilomaja yake nasikia laki
 
Nchi ya Madagscar inasifika sana kwa ulimaji wa zao la vanilla. Zao hili linawaongezea kipato kikubwa sana raia wa Madagascar kwani kilo moja inafika karibu dola 600 za Kimarekani.

Nakumbuka sana Profesa Kabudi aliporudi na mitishamba ya Corona toka Madagascar kwa mbwembe nyingi sana na kulihutubia Taifa.

Alikusanya jopo la maprofesa na madaktari kwamba watashughulikia utafiti wa mitishamba hiyo toka Madagascar kama inatibu Corona.

Mpaka leo hakuna taarifa za matokeo ya uchunguzi huo. Kwa kifupi Mitishamba hiyo haitibu kwani Madagascar sasa hivi wanalia na maambukizi ya Corona.

Naomba Profesa Kabudu urudi tena Madagascar ukatuletee miche ya Vanilla ili wananchi tuinue kipato chetu, tutakukumbuka sana ukituletea miche ya vanilla.
Miche ya Vanila imejaa SUA kibao karibu Morogoro SUA kupata miche Bora ya Vanila
 
Vanilla ina pesa nyingi sana lakini kwa kuwa serikali ina chuki na wananchi basi tu hakuna namna. Haina mpango wowote wa kumsaidia mkulima. Kahawa na vanilla zingeingiza pato la taifa. Kuna parachichi na ndizi pia hizo zina angalau kwa vile ni mazao ya chakula.
 
Nchi ya Madagscar inasifika sana kwa ulimaji wa zao la vanilla. Zao hili linawaongezea kipato kikubwa sana raia wa Madagascar kwani kilo moja inafika karibu dola 600 za Kimarekani.

Nakumbuka sana Profesa Kabudi aliporudi na mitishamba ya Corona toka Madagascar kwa mbwembe nyingi sana na kulihutubia Taifa.

Alikusanya jopo la maprofesa na madaktari kwamba watashughulikia utafiti wa mitishamba hiyo toka Madagascar kama inatibu Corona.

Mpaka leo hakuna taarifa za matokeo ya uchunguzi huo. Kwa kifupi Mitishamba hiyo haitibu kwani Madagascar sasa hivi wanalia na maambukizi ya Corona.

Naomba Profesa Kabudu urudi tena Madagascar ukatuletee miche ya Vanilla ili wananchi tuinue kipato chetu, tutakukumbuka sana ukituletea miche ya vanilla.
Vanilla imejaa kama yote Mkoa wa Kagera. Wilaya ya Bukoba Vijijini kuna Vanilla - inalimwa kwa wingi. Kama uko serious, wasiliana na Maruku Research Institute utapata.
Au nia yako ilikuwa ni kumkejeli Waziri Kabudi?
 
Back
Top Bottom