Nchi ya Madagscar inasifika sana kwa ulimaji wa zao la vanilla. Zao hili linawaongezea kipato kikubwa sana raia wa Madagascar kwani kilo moja inafika karibu dola 600 za Kimarekani.
Nakumbuka sana Profesa Kabudi aliporudi na mitishamba ya Corona toka Madagascar kwa mbwembe nyingi sana na kulihutubia Taifa.
Alikusanya jopo la maprofesa na madaktari kwamba watashughulikia utafiti wa mitishamba hiyo toka Madagascar kama inatibu Corona.
Mpaka leo hakuna taarifa za matokeo ya uchunguzi huo. Kwa kifupi Mitishamba hiyo haitibu kwani Madagascar sasa hivi wanalia na maambukizi ya Corona.
Naomba Profesa Kabudu urudi tena Madagascar ukatuletee miche ya Vanilla ili wananchi tuinue kipato chetu, tutakukumbuka sana ukituletea miche ya vanilla.
Nakumbuka sana Profesa Kabudi aliporudi na mitishamba ya Corona toka Madagascar kwa mbwembe nyingi sana na kulihutubia Taifa.
Alikusanya jopo la maprofesa na madaktari kwamba watashughulikia utafiti wa mitishamba hiyo toka Madagascar kama inatibu Corona.
Mpaka leo hakuna taarifa za matokeo ya uchunguzi huo. Kwa kifupi Mitishamba hiyo haitibu kwani Madagascar sasa hivi wanalia na maambukizi ya Corona.
Naomba Profesa Kabudu urudi tena Madagascar ukatuletee miche ya Vanilla ili wananchi tuinue kipato chetu, tutakukumbuka sana ukituletea miche ya vanilla.