Hujui kama Kuna watu wanalima vanilla hko kagera na bukoba tena Kuna wakati wakulima ikifika karibia
Na kuvuna wanalinda mashamba yao kwa ulinzi mkali sna....
Wewe labda ungeishauri serikali iwasisitize na kuweka nguvu kubwa watu walime zao Hilo
Kwani hata mbeya, tukuyu, moro vijijini zao Hilo likilimwa linakubali
Nna ushahidi kna mtu alienda kijiji cha rubale na alichkua miche ya vanilla na alienda kujaribu kupanda tukuyu mbeya na ilikubali, jamaa alikuwa na plan ya kufanya mradi huo huko mbeya ila bahati mbaya jamaa alikujaga kufariki
Tatizo watz siyo watu wa kufatilia mambo na kutekeleza
We washauri serikali ikazanie watu walime vanila
Maana Kuna maeneo mengi inakubali
Ova
Sent from my SM-N920T using
JamiiForums mobile app