johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Profesa Kabudi amemwambia Waziri wa Mambo ya Nje wa China kwamba anashukuru kwa ziara aliyoifanya Mwaloni leo asubuhi na Tanzania inatamani Chato ije kuwa kama miji mikubwa ya China ambayo awali ilikuwa ni vijiji vya wavuvi kama ilivyo chato.
Profesa Kabudi amesema kwa mahusiano mema ya Tanzania na China hilo linawezekana kabisa.
Profesa Kabudi na waziri Wang Yi walikuwa wanaongea na waandishi wa habari leo hii Chato mkoani Geita.
Chanzo: Upendo tv
Maendeleo hayana vyama!
Profesa Kabudi amesema kwa mahusiano mema ya Tanzania na China hilo linawezekana kabisa.
Profesa Kabudi na waziri Wang Yi walikuwa wanaongea na waandishi wa habari leo hii Chato mkoani Geita.
Chanzo: Upendo tv
Maendeleo hayana vyama!