Profesa Kabudi: Tanzania inatamani sana Chato ifanane na majiji makubwa ya China ambayo awali yalikuwa ni vijiji vya wavuvi!

Profesa Kabudi: Tanzania inatamani sana Chato ifanane na majiji makubwa ya China ambayo awali yalikuwa ni vijiji vya wavuvi!

Screenshot_20210327-171350.png
 
Chato inakitu gani cha kuifanya iwe jiji, labda kama kwa kuchezea fedha za walipa kodi kwa kujenga majengo yasiyo na matumizi,kuofoce business zisizo wezekana ama kuhamishia makao makuu ya nchi kwa miaka minne ijayo.Baada 2025 habari za chato zitaisha labda wafoce namba 1 atoke hapo hapo
Inafikirisha
 
Back
Top Bottom