johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tanzania ni jiwe.Tanzania iliyotajwa hapo ni nani?
Professor wa majalalani na ubora wake wa kujipendekeza.Profesa Kabudi amemwambia Waziri wa Mambo ya Nje wa China kwamba anashukuru kwa ziara aliyoifanya Mwaloni leo asubuhi na Tanzania inatamani Chato ije kuwa kama miji mikubwa ya China ambayo awali ilikuwa ni vijiji vya wavuvi kama ilivyo chato.
Profesa Kabudi amesema kwa mahusiano mema ya Tanzania na China hilo linawezekana kabisa.
Profesa Kabudi na waziri Wang Yi walikuwa wanaongea na waandishi wa habari leo hii Chato mkoani Geita.
Chanzo: Upendo tv
Maendeleo hayana vyama!
Chato inakitu gani cha kuifanya iwe jiji, labda kama kwa kuchezea fedha za walipa kodi kwa kujenga majengo yasiyo na matumizi,kuofoce business zisizo wezekana ama kuhamishia makao makuu ya nchi kwa miaka minne ijayo.Baada 2025 habari za chato zitaisha labda wafoce namba 1 atoke hapo hapoProfesa Kabudi amemwambia Waziri wa Mambo ya Nje wa China kwamba anashukuru kwa ziara aliyoifanya Mwaloni leo asubuhi na Tanzania inatamani Chato ije kuwa kama miji mikubwa ya China ambayo awali ilikuwa ni vijiji vya wavuvi kama ilivyo chato.
Profesa Kabudi amesema kwa mahusiano mema ya Tanzania na China hilo linawezekana kabisa.
Profesa Kabudi na waziri Wang Yi walikuwa wanaongea na waandishi wa habari leo hii Chato mkoani Geita.
Chanzo: Upendo tv
Maendeleo hayana vyama!
Mbona Bagamoyo inazidi kukua?!!Chato inakitu gani cha kuifanya iwe jiji, labda kama kwa kuchezea fedha za walipa kodi kwa kujenga majengo yasiyo na matumizi,kuofoce business zisizo wezekana ama kuhamishia makao makuu ya nchi kwa miaka minne ijayo.Baada 2025 habari za chato zitaisha labda wafoce namba 1 atoke hapo hapo
Hapa chadema lazima waone wivu!Profesa Kabudi amemwambia Waziri wa Mambo ya Nje wa China kwamba anashukuru kwa ziara aliyoifanya Mwaloni leo asubuhi na Tanzania inatamani Chato ije kuwa kama miji mikubwa ya China ambayo awali ilikuwa ni vijiji vya wavuvi kama ilivyo chato.
Profesa Kabudi amesema kwa mahusiano mema ya Tanzania na China hilo linawezekana kabisa.
Profesa Kabudi na waziri Wang Yi walikuwa wanaongea na waandishi wa habari leo hii Chato mkoani Geita.
Chanzo: Upendo tv
Maendeleo hayana vyama!
Hekaya za abunuwasi, MATAGA wamezunguma kwenye vikao vyao wanasema Watanzania, hizi phd za jalalani hovyo kabisaProfesa Kabudi amemwambia Waziri wa Mambo ya Nje wa China kwamba anashukuru kwa ziara aliyoifanya Mwaloni leo asubuhi na Tanzania inatamani Chato ije kuwa kama miji mikubwa ya China ambayo awali ilikuwa ni vijiji vya wavuvi kama ilivyo chato.
Profesa Kabudi amesema kwa mahusiano mema ya Tanzania na China hilo linawezekana kabisa.
Profesa Kabudi na waziri Wang Yi walikuwa wanaongea na waandishi wa habari leo hii Chato mkoani Geita.
Chanzo: Upendo tv
Maendeleo hayana vyama!
Kaburu botha was right.Selfish leader
Kama majiji ya Dar es Salaam na Mwanza tu yameshindwa kuifikia miji midogo ya China kama Macau na Chongqing,Leo hii mji mdogo wa Chato utaweza(ndani ya miaka hii 4 iliyobakia ya mheshimiwa akiwa madarakani)?Profesa Kabudi amemwambia Waziri wa Mambo ya Nje wa China kwamba anashukuru kwa ziara aliyoifanya Mwaloni leo asubuhi na Tanzania inatamani Chato ije kuwa kama miji mikubwa ya China ambayo awali ilikuwa ni vijiji vya wavuvi kama ilivyo chato.
Profesa Kabudi amesema kwa mahusiano mema ya Tanzania na China hilo linawezekana kabisa.
Profesa Kabudi na waziri Wang Yi walikuwa wanaongea na waandishi wa habari leo hii Chato mkoani Geita.
Chanzo: Upendo tv
Maendeleo hayana vyama!
unadhani factors za Bagamoyo ni sawa na za huko? Bagamoyo iko Kilomita ngapi toka Dsm? Njombe tu yenyewe haijakua pamoja na kua na Business nyingi then utuambie hiyo cheto iwe kama miji ya China eti kwa kujengwa na mtu mmoja tu kwa mamlaka.Kukua kwa mji kuna hitaji mambo mengi sana.Miji ya china imekuzwa na Private Sector tofauti na tunavyoaminishwa kua China Goverment ni kila kitu.private-Western Entities zimeikuza china.Mbona Bagamoyo inazidi kukua?!!
Tamaaa za mtu mmoja kivipi?hii Chato si ipo Bongo hapa hapa!Tanzania aliyoitaja Kabudi ni ipii..!? Au tamaa za mtu mmoja zimekua za Taifa..!!?
How did he become a professor anyway!!?
Kwahyo na wewe ndo umeamua kutuambia kua tamaa ya mtu wa chato ndo tamaa ya Tanzanian.Tamaaa za mtu mmoja kivipi?hii Chato si ipo Bongo hapa hapa!
Kila mtu anauruhusiwa kuishi,
Mbona vitu vikifanyika Mbeya,Arusha,Kilimanjaro,mnataka Bongo nzima ione kawaida,ila vikifanyika kwingine inakuwa zogo,
Kipindi flani enzi za Mkapa na Kikwete,watu walilalamika kwamba wizara ya fedha imejaa wachaga na wapare,Sumaye akawajibu kwamba hao ndio wanaojua mahesabu,
Itakuja kuwa kama yale majengo ya wilaya ya Mwanga ambayo yalijengwa kipindi Cleopa Msuya akiwa waziri mkuu. Sasa hivi yamegeuka kuwa nyumba za popoChato inakitu gani cha kuifanya iwe jiji, labda kama kwa kuchezea fedha za walipa kodi kwa kujenga majengo yasiyo na matumizi,kuofoce business zisizo wezekana ama kuhamishia makao makuu ya nchi kwa miaka minne ijayo.Baada 2025 habari za chato zitaisha labda wafoce namba 1 atoke hapo hapo