Chato inakitu gani cha kuifanya iwe jiji, labda kama kwa kuchezea fedha za walipa kodi kwa kujenga majengo yasiyo na matumizi,kuofoce business zisizo wezekana ama kuhamishia makao makuu ya nchi kwa miaka minne ijayo.Baada 2025 habari za chato zitaisha labda wafoce namba 1 atoke hapo hapo