Nchi hii ni ya wote, ukiwa mtu sahihi na mahali sahihi, ni kugusa tu kuielekea ndoto yako!
Maana kuna watu ktk kazi zao, huwa nawambia, unaweza ukawa ni mtu sahihi katika kazi zako, lakini Kwa vile kazi yako si sahihi, huwezi kupata matunda ya kazi yako, lakini vikevile, kazi yako inaweza kuwa ni sahihi lakini wewe si sahihi katika kazi hiyo, hivyo pia huwezi kupata matokeo ya kazi hiyo
Kilichopo, ni lazima kufahamu kuwa, wewe ni mtu sahihi katika kazi sahihi, vitu Hivi viwili vikiwa sahihi Vyote, ni kuteleza tu kuelekea mafanikio
Mtu sahihi Chama sahihi na Kwa muda sahihi, Kwa nini usifike uendako?