Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Siasa ni mchezo mchafuNi kweli, hasa siasa zenyewe zinapokuwa ni dhidi ya mtu anayeendelea siasa chafu kama Mwigulu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siasa ni mchezo mchafuNi kweli, hasa siasa zenyewe zinapokuwa ni dhidi ya mtu anayeendelea siasa chafu kama Mwigulu.
''Uchaguzi'' unaokuja mtu yeyote wa CCM anaweza kugombea mahali popote na nina uhakika ''atashinda''. Kimsingi ''uchaguzi'' unaokuja ni tukio la Magufuli kuwagawiwa watu waliompendeza roho yake majimbo.Watachinjana na Mwigulu Nchemba
Kauli ya kuongeza nguvu ya chama imelenga kwenda kuchukua jimbo lililo kwa upinzani, bila shaka ni moja ya majimbo ya Dar.Kwa hiyo blaza Mwigulu Nchemba ajiandae
Siasa ni mchezo mchafu
''Uchaguzi'' unaokuja mtu yeyote wa CCM anaweza kugombea mahali popote na nina uhakika ''atashinda''. Kimsingi ''uchaguzi'' unaokuja ni tukio la Magufuli kuwagawiwa watu waliompendeza roho yake majimbo.
Tumefika steji mbaya sana kwa sababu wawakilishi wa wananchi sasa hivi hawawaogopi tena wananchi kwani wanajua hawana uwezo wa kuwaondoa kwenye nafasi zao na badala yake wanamtii Magufuli kwa sababu wanajua ndiye mwenye uamuzi wote.
Mwigulu ni intellectual ????Shigganza,
Nionavyo Mimi Prof Mkumbo yupo smart sana. Lakini asi attempt kugombea jimbo moja na DR MWIGULU NCHEMBA.
I wish geographical wise ya Iramba West kama inaruhhusu jimbo ligawanywe ili kuwatumia hawa Intellectuals at once hii ungekuwa BUSARA KUBWA.
Hongera Prof KITILA kwa hiyo nia.
[emoji109][emoji109][emoji109]
Na hili linathibitisha hoja kwamba ccm ya Magufuli haifanyi siasa tena bali inafanya ujambazi wa madaraka tu.''Uchaguzi'' unaokuja mtu yeyote wa CCM anaweza kugombea mahali popote na nina uhakika ''atashinda''. Kimsingi ''uchaguzi'' unaokuja ni tukio la Magufuli kuwagawiwa watu waliompendeza roho yake majimbo.
Tumefika steji mbaya sana kwa sababu wawakilishi wa wananchi sasa hivi hawawaogopi tena wananchi kwani wanajua hawana uwezo wa kuwaondoa kwenye nafasi zao na badala yake wanamtii Magufuli kwa sababu wanajua ndiye mwenye uamuzi wote.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Kitila Mkumbo Kupitia Akaunti yake ya Mtandao wa Twitter Ametangaza katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa Kufanyika Oktoba Mwaka huu.
Uamuzi huo ameutoa wakati akijibu swali lililoulizwa na Mwandishi wa Habari Ezekiel Kamwaga.
Hata hivyo hajabainisha jimbo atakalogombea, ingawa ameeleza itakuwa mahala ambapo ataongeza mtaji na nguvu ya CCM.
Duh...!
Duh...!He
...!
Yule out kashakatwa mbona.Kwa hiyo blaza Mwigulu Nchemba ajiandae
kwani kuna mwenye hati miliki ya jimbo hapa nchini hayo ni mawazo potofu,cha msingi aingie kwenye mpambano kura ya maoni apitishwe huko mbele tuoneMwigulu Nchemba pamoja na uchawi wako wa kurithi utashindwa Tu Safari hii
Umeshaambiwa kuongeza mtaji wa ccm, hivyo atatafuta jimbo la upinzaniKwa hiyo blaza Mwigulu Nchemba ajiandae
Mbele ya njaa vyote wanakweka pembeni. Huyo aliyejiita wa jalalani unamsemaje?Ni mtu fake tu! Kazi kupayuka. Akili yake haiendani na cheti cha elimu aliyonayo.
Musikizishe clip hii:Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Kitila Mkumbo Kupitia Akaunti yake ya Mtandao wa Twitter Ametangaza katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa Kufanyika Oktoba Mwaka huu.
Uamuzi huo ameutoa wakati akijibu swali lililoulizwa na Mwandishi wa Habari Ezekiel Kamwaga.
Hata hivyo hajabainisha jimbo atakalogombea, ingawa ameeleza itakuwa mahala ambapo ataongeza mtaji na nguvu ya CCM.
View attachment 1474794
Jibu unalo? Kwa akili unahisi Intellectual lazima awe alikuwa anafundisha chuo kikuu!Mwigulu ni intellectual ????
Ambalo liko nje ya Singida?Umeshaambiwa kuongeza mtaji wa ccm, hivyo atatafuta jimbo la upinzani