Uchaguzi 2020 Profesa Kitila Mkumbo atangaza kugombea Ubunge 2020

Uchaguzi 2020 Profesa Kitila Mkumbo atangaza kugombea Ubunge 2020

''Uchaguzi'' unaokuja mtu yeyote wa CCM anaweza kugombea mahali popote na nina uhakika ''atashinda''. Kimsingi ''uchaguzi'' unaokuja ni tukio la Magufuli kuwagawiwa watu waliompendeza roho yake majimbo.

Tumefika steji mbaya sana kwa sababu wawakilishi wa wananchi sasa hivi hawawaogopi tena wananchi kwani wanajua hawana uwezo wa kuwaondoa kwenye nafasi zao na badala yake wanamtii Magufuli kwa sababu wanajua ndiye mwenye uamuzi wote.
 
Miezi miwili iliyopita Kitila nyota yako ilikuwa inang'aa hadi Ikulu kwa baba Jeska.

Baada ya Mwigulu kwenda kwa mganga sasa kibao kimegeuka. Kitila tulia na ukatibu wako. Utakosa vyote.
 
''Uchaguzi'' unaokuja mtu yeyote wa CCM anaweza kugombea mahali popote na nina uhakika ''atashinda''. Kimsingi ''uchaguzi'' unaokuja ni tukio la Magufuli kuwagawiwa watu waliompendeza roho yake majimbo.

Tumefika steji mbaya sana kwa sababu wawakilishi wa wananchi sasa hivi hawawaogopi tena wananchi kwani wanajua hawana uwezo wa kuwaondoa kwenye nafasi zao na badala yake wanamtii Magufuli kwa sababu wanajua ndiye mwenye uamuzi wote.

Exactly. Na sio kushinda kwa maana ya kushinda, bali ni uhakika wa kutangazwa mshindi bila kujali box la kura linasema nini.
 
Shigganza,
Nionavyo Mimi Prof Mkumbo yupo smart sana. Lakini asi attempt kugombea jimbo moja na DR MWIGULU NCHEMBA.

I wish geographical wise ya Iramba West kama inaruhhusu jimbo ligawanywe ili kuwatumia hawa Intellectuals at once hii ungekuwa BUSARA KUBWA.

Hongera Prof KITILA kwa hiyo nia.

[emoji109][emoji109][emoji109]
Mwigulu ni intellectual ????
 
''Uchaguzi'' unaokuja mtu yeyote wa CCM anaweza kugombea mahali popote na nina uhakika ''atashinda''. Kimsingi ''uchaguzi'' unaokuja ni tukio la Magufuli kuwagawiwa watu waliompendeza roho yake majimbo.

Tumefika steji mbaya sana kwa sababu wawakilishi wa wananchi sasa hivi hawawaogopi tena wananchi kwani wanajua hawana uwezo wa kuwaondoa kwenye nafasi zao na badala yake wanamtii Magufuli kwa sababu wanajua ndiye mwenye uamuzi wote.
Na hili linathibitisha hoja kwamba ccm ya Magufuli haifanyi siasa tena bali inafanya ujambazi wa madaraka tu.
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Kitila Mkumbo Kupitia Akaunti yake ya Mtandao wa Twitter Ametangaza katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa Kufanyika Oktoba Mwaka huu.

Uamuzi huo ameutoa wakati akijibu swali lililoulizwa na Mwandishi wa Habari Ezekiel Kamwaga.

Hata hivyo hajabainisha jimbo atakalogombea, ingawa ameeleza itakuwa mahala ambapo ataongeza mtaji na nguvu ya CCM.

Duh...!
 
Kwa hiyo blaza Mwigulu Nchemba ajiandae
Yule out kashakatwa mbona.
Yaani kwa kifupi wabunge wote wazoefu wengi sana wamekatwa bunge lijalo kutakuwa na wabunge wapya na spika atakaewepo atakuwa na kipindi kigumu sana alafu na mh hapo hapo ndio atatumia fursa zaidi ya kuongeza.
Naomba niishie hapo
 
Nawakubali sana wanasiasa wanaohama vyama bila kutukana vyama walivyotoka kama kitila na Mama Ana Mwigila..
Lakini kuna utopolo kama Lijuakali na yuke mbuge wa Ukonga..
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Kitila Mkumbo Kupitia Akaunti yake ya Mtandao wa Twitter Ametangaza katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa Kufanyika Oktoba Mwaka huu.

Uamuzi huo ameutoa wakati akijibu swali lililoulizwa na Mwandishi wa Habari Ezekiel Kamwaga.

Hata hivyo hajabainisha jimbo atakalogombea, ingawa ameeleza itakuwa mahala ambapo ataongeza mtaji na nguvu ya CCM.

View attachment 1474794
Musikizishe clip hii:
 
Back
Top Bottom