Uchaguzi 2020 Profesa Kitila Mkumbo atangaza kugombea Ubunge 2020

Katibu mkuu wa wizara sharti awe mtaalamu wa sekta husika. Kitila na water resources wapi na wapi? Kitila si mtu sahihi kwa nafasi aliyonayo hivi sasa. Nafasi sahihi kwake ni kufundisha na kufanya tafiti. Hapo tu ndio ataweza kurejesha kwa taifa gharama za kumsomesha mpaka hapo alipo
 
Naunga mkono hoja mkuu, lakini kama ni kupotea tulishaanza kitambo Sana, Embu wacha tujaribu na hilo
 
Huu ndiyo muda wa kutoana kafara🤗,kule Mkumbo vs Mwigulu

Sasa ametambua kuwa kule kwa Mwigulu asikuguse kabisa, na ndiomaana kajibu vizuri sana na kutobaini ni jimbo gani anatarajia kugombea.

Namtahadharisha kuwa kule kwa Nchemba asiguse kabisa atakufa kisiasa. Kama alifikiri CHADEMA na ACT wanafigisu akigusa huko atitambua CCM kwa undani na hatahitaji kuisikia maishani mwake.
 
Hizi njaa, ameshasahau kuwa alikuwa mpinzani advocating for change to a democratic state
Njaa ni nini sasa hapo? Upinzani wenyewe wanashindana "kuboresha" katiba zao ili wenyeviti wao watawale milele. Au hiyo ndiyo tafsiri ya demokrasia siku hizi.
 
Hayo ulitangaziwa lini? Kwamba amepewa "malengo" ya kuhakikisha nchi nzima inapata maji 24/7? Unadhani kazi ya kumpelekea maji safi kila mtanzania ni ya kufumba na kufumbua? Siku hizi mitandaoni kumejaa wasomi hewa.
 
Hayo ulitangaziwa lini? Kwamba amepewa "malengo" ya kuhakikisha nchi nzima inapata maji 24/7? Unadhani kazi ya kumpelekea maji safi kila mtanzania ni ya kufumba na kufumbua? Siku hizi mitandaoni kumejaa wasomi hewa.
Ndo umuulize Polepole aliesema au hukuskia umekuja tu umekurupuka.
 
Mkuu kule nayeye ni kwao? Au kavamia tu
 
Kwa jinsi alivyojibu ni dhahiri shahiri kuwa hatochuana na Madeluu bali jimbo lililokuwa upinzani ili kuongeza mtaji wa ccm!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…