King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Pia wanasema hata marekani na wao wanamadeni ,lakini wananzengo walishasema ipo siku nchi itapigwa mnada.Wanasemaga deni letu ni himilivu
Kwa hiyo msiwe na wasi
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia wanasema hata marekani na wao wanamadeni ,lakini wananzengo walishasema ipo siku nchi itapigwa mnada.Wanasemaga deni letu ni himilivu
Kwa hiyo msiwe na wasi
Ova
Kidogo sana kwa utajiri tulionao Tanzania.91.7 tri March, 2024 - hadi 96.8 June, 2024 ni nyongeza ya trilioni 5.1 kwa miezi mitatu - April, May na June, 2024 sawa na wastani wa 1.7 trilioni kwa mwezi katika hiyo miezi mitatu.
Kidogo sana kwa utajiri tulionao Tanzania.
Maisha ni kucheka maisha ni kufurahi manufaa ya Utawala wa wenye kutumia hisia zaidi kuliko akili, Mungu akupe nini anachukua anakupa anaweka pwaaaWaziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema hadi kufikia mwezi June mwaka huu 2024, deni la Serikali liliongezeka na kuwa Tsh. bilioni 96,884.18 (Tsh. trilioni 96.8) ambapo Kati ya kiasi hicho, deni la ndani lilikuwa shilingi bilioni 31,951.24 na deni la nje lilikuwa shilingi bilioni 64,932.94.
Akiongea leo November 01,2024 Bungeni Jijini Dodoma wakati akiwasilisha mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2025/2026, Prof. Mkumbo amesema fedha zilizosababisha deni hilo zilielekezwa katika kugharamia miradi ya maendeleo, ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya barabara, reli, viwanja vya ndege, umeme na maji
“2023/24 kampuni za Fitch Ratings na Moody’s Investors Service zilifanya mapitio ya tathmini ya Nchi kukopesheka katika masoko ya mitaji ya kimataifa na kuchapisha matokeo ya daraja B1 na B+ mtawalia, matokeo mazuri ya tathmini hizo yalitokana na ukuaji mzuri wa uchumi unaoweza kuhimili mitikisiko ya kiuchumi, utekelezaji wa mageuzi ya kimuundo yanayoboresha mazingira ya biashara, ufanisi wa ukusanyaji wa mapato na usimamizi wa fedha za umma, matokeo hayo yatawezesha kupungua kwa gharama za mikopo (riba za mikopo) kutokana na kuongezeka kwa imani kwa Wakopeshaji na hivyo kuwezesha ugharamiaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo, kuongezeka kwa uwekezaji kutoka nje ya Nchi ambao utasaidia kukuza uchumi”
Itakumbukwa wakati akitoa hotuba ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2023, Bungeni Jijini Dodoma June 13,2024, Waziri Mkumbo alisema hadi kufikia March 2024, deni la Serikali lilikuwa shilingi bilioni 91,708.3 (Tsh. trilioni 91.7) ikilinganishwa na shilingi bilioni 77,010.4 (Tsh. trilioni 77.) katika kipindi kama hicho mwaka 2023, sawa na ongezeko la asilimia 19.1.
Kwa upande wake CAG Charles Kichere, wakati akiwasilisha ripoti kuu kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kwa Rais Samia Ikulu Dodoma March 28,2024 alisema hadi kufikia June 30,2023 deni la Serikali lilikuwa Tsh. trilioni 82.25 sawa na ongezeko la 15% kutoka Tsh.trilioni 71.31 kwa mwaka 2021/2022.
BUNGENI
March 28,2024 Tri.82 Jana November 1 Tr. 96, Anachukua anaweka twa twa anatulia anaweka pwaaa91.7 tri March, 2024 - hadi 96.8 June, 2024 ni nyongeza ya trilioni 5.1 kwa miezi mitatu - April, May na June, 2024 sawa na wastani wa 1.7 trilioni kwa mwezi katika hiyo miezi mitatu.
Wewe ni nyoko yaani bongo nyosoriihnoKidogo sana kwa utajiri tulionao Tanzania.
Sio rahisi kuelewa maana inahusisha deni la ndani,denk la Nje,deni la sekta binafsi na hati fungani za serikali.
Hilo ni somo linalojitegemea kwenye Masomo ya Uchumi
Ni very simple, ni deni la serikali na ondoa hiyo deni la sekta binafsi haihusiki, tunajua mlidanganywa na yule mchumi wenu fake MwiguluSio rahisi kuelewa maana inahusisha deni la ndani,denk la Nje,deni la sekta binafsi na hati fungani za serikali.
Hilo ni somo linalojitegemea kwenye Masomo ya Uchumi
Tutakopa sana lakini hufika pahala, taifa letu halitahitaji tena mikopo, maana kila hitaji la nchi litakuwa limekamilika, hapo ndipo urejeshwaji hufanyika kwa kasi ya ajabu, na wananchi hula tunu za nchi yao!, mf. Amerika au kanada zimejengeka kiasi fedha nyingi haziendi kwenye miundombinu bali hurudi katika huduma za kijamii zaidi, maana miundombinu ndicho kinachotafuna fedha kwa 90%.Concept ya deni la Serikali haieleweki na wengi
Ndugai kwenye hili aliona mbali
Mama alikopa hela za Uviko 19 akajenga miundombinu ya Afya ,maji,kuboresha Hifadhi za Taifa ,shule nk ila akatukanwa sana kwamba eti anakopa kujenga shule.Tutakopa sana lakini hufika pahala, taifa letu halitahitaji tena mikopo, maana kila hitaji la nchi litakuwa limekamilika, hapo ndipo urejeshwaji hufanyika kwa kasi ya ajabu, na wananchi hula tunu za nchi yao!, mf. Amerika au kanada zimejengeka kiasi fedha nyingi haziendi kwenye miundombinu bali hurudi katika huduma za kijamii zaidi, maana miundombinu ndicho kinachotafuna fedha kwa 90%.
Uchumi wa Nchi ni Trilioni 215 toa hiyo Trilioni 97 😁😁Hadi ikifika 2030 deni litafika trilioni 150
Kushuka thamani Kwa Shilingi ndiko kumechangia ongezeko kubwa la deni la Taifa.91.7 tri March, 2024 - hadi 96.8 June, 2024 ni nyongeza ya trilioni 5.1 kwa miezi mitatu - April, May na June, 2024 sawa na wastani wa 1.7 trilioni kwa mwezi katika hiyo miezi mitatu.
Hujui kitu.Nakupa mfano Majizi hapo NMB na CRDB zilioata Mkopo wa mabilioni ya Shilingi na taasisi za Kimataifa kuja Tanzania,hela hizo zinahesabiwa kwenye national debt na sio government debt.Ni very simple, ni deni la serikali na ondoa hiyo deni la sekta binafsi haihusiki, tunajua mlidanganywa na yule mchumi wenu fake Mwigulu
Deni ni deni tuSio rahisi kuelewa maana inahusisha deni la ndani,denk la Nje,deni la sekta binafsi na hati fungani za serikali.
Hilo ni somo linalojitegemea kwenye Masomo ya Uchumi
Acha lugha ngumuSio rahisi kuelewa maana inahusisha deni la ndani,denk la Nje,deni la sekta binafsi na hati fungani za serikali.
Hilo ni somo linalojitegemea kwenye Masomo ya Uchumi