Profesa Kitila Mkumbo: Deni la Serikali limefikia Tsh. Trilioni 96.8

Maisha ni kucheka maisha ni kufurahi manufaa ya Utawala wa wenye kutumia hisia zaidi kuliko akili, Mungu akupe nini anachukua anakupa anaweka pwaaa
 
91.7 tri March, 2024 - hadi 96.8 June, 2024 ni nyongeza ya trilioni 5.1 kwa miezi mitatu - April, May na June, 2024 sawa na wastani wa 1.7 trilioni kwa mwezi katika hiyo miezi mitatu.
March 28,2024 Tri.82 Jana November 1 Tr. 96, Anachukua anaweka twa twa anatulia anaweka pwaaa
 
Sio rahisi kuelewa maana inahusisha deni la ndani,denk la Nje,deni la sekta binafsi na hati fungani za serikali.

Hilo ni somo linalojitegemea kwenye Masomo ya Uchumi
Sio rahisi kuelewa maana inahusisha deni la ndani,denk la Nje,deni la sekta binafsi na hati fungani za serikali.

Hilo ni somo linalojitegemea kwenye Masomo ya Uchumi
Ni very simple, ni deni la serikali na ondoa hiyo deni la sekta binafsi haihusiki, tunajua mlidanganywa na yule mchumi wenu fake Mwigulu
 
Concept ya deni la Serikali haieleweki na wengi
Tutakopa sana lakini hufika pahala, taifa letu halitahitaji tena mikopo, maana kila hitaji la nchi litakuwa limekamilika, hapo ndipo urejeshwaji hufanyika kwa kasi ya ajabu, na wananchi hula tunu za nchi yao!, mf. Amerika au kanada zimejengeka kiasi fedha nyingi haziendi kwenye miundombinu bali hurudi katika huduma za kijamii zaidi, maana miundombinu ndicho kinachotafuna fedha kwa 90%.
°low brain hawataweza kunielewa, piteni tu.
 
Hahaha Mwigulu aliisha sema HAMTAPIGIWA HODI mlipe tatizo lenu nini?
 
Sehemu ya pesa za hilo deni zimeenda kufanya huu upuuzi
 
Mama alikopa hela za Uviko 19 akajenga miundombinu ya Afya ,maji,kuboresha Hifadhi za Taifa ,shule nk ila akatukanwa sana kwamba eti anakopa kujenga shule.

Naunga mkono Serikali kukopa na kuboresha Huduma zote za kijamii na kiuchumi isipokuwa kukopa eti kuboresha mifumo ya sheria nk sio Tija sana.

Mwisho kabla ya kushangaa deni unatakiwa ujue Ukubwa wa Uchumi wa Nchi.
 
91.7 tri March, 2024 - hadi 96.8 June, 2024 ni nyongeza ya trilioni 5.1 kwa miezi mitatu - April, May na June, 2024 sawa na wastani wa 1.7 trilioni kwa mwezi katika hiyo miezi mitatu.
Kushuka thamani Kwa Shilingi ndiko kumechangia ongezeko kubwa la deni la Taifa.

Hata hivyo Uchumi wa Tanzania una Trilioni 215 less Trilioni 97 ,hakuna deni la kubabaisha Nchi yaani kiufupi hata nusu ya Uchumi Bado
 
Ni very simple, ni deni la serikali na ondoa hiyo deni la sekta binafsi haihusiki, tunajua mlidanganywa na yule mchumi wenu fake Mwigulu
Hujui kitu.Nakupa mfano Majizi hapo NMB na CRDB zilioata Mkopo wa mabilioni ya Shilingi na taasisi za Kimataifa kuja Tanzania,hela hizo zinahesabiwa kwenye national debt na sio government debt.

Nyie mbulula hiyo ni kozi ya somo la Uchumi hamuwezi elewa bila kwenda darasani how it works na siku zote unapokoti maneno ya kiuchumi uwe makini na matumizi yake.
 
Ndiyo viongozi wetu,, hawawazi jinsi ya kulipunguza wanawaza jinsi ya kuliongeza ila liwe vumilivu,, duuuuuuu
 
Sio rahisi kuelewa maana inahusisha deni la ndani,denk la Nje,deni la sekta binafsi na hati fungani za serikali.

Hilo ni somo linalojitegemea kwenye Masomo ya Uchumi
Deni ni deni tu
Maana ya deni ni kwamba unadaiwa yaani ulikopa Baada ya kuwa huna na unatakiwa kulipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…