Profesa Kitila Mkumbo: Deni la Serikali limefikia Tsh. Trilioni 96.8

Je Bado tunakopesheka, au tumevuka mstari wa kutokopesheka
Sasa Hilo sio swali la kuuliza Kwa mtu anaeelewa.Ndio maana nikasema concept ya deni wengi hamuelewi.

Jibu ni,utakopeshwa kama hukopesheki? Utakopeshwa kama hulipi deni?
 
Hilo deni mbona linazidi kuongezeka tu bila kupungua huku tukiambiwa uchumi wetu unakua?
Kwanini hilo deni lisipungue?
Kwanini uchumi ukue na bado deni lizidi kukua?
Huwa hatulipi madeni?
Kushuka Kwa Thamani ya Shilingi imechangia zaidi kuongezeka Kwa deni.
 
Kwenda, Hela zinatapanywa kila sehemu hovyo eti Mkifunga GOLI mnapewa hela...

Magoli ni miundombinu siku izi?
 
Bado ni himilivu... wengine wanadaiwa pesa nyingi kuliko sisi
 
So yule Mpini hana jipya πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DFc-EgAqUxQ/?igsh=MnBsYjN2Yng0Ymkz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…