Uchaguzi 2020 Profesa Lipumba: Wingi wa watu kwenye mikutano ya kampeni ya wagombea wengine wa Urais haunitishi

Uchaguzi 2020 Profesa Lipumba: Wingi wa watu kwenye mikutano ya kampeni ya wagombea wengine wa Urais haunitishi

Ni kweli hatishiki! Yeye anaona yuko na maelfu ya watu wamemzunguka kila anakopita.

Kuna haja ya kula karoti na mboga za majani kwa wingi ili tuwezeshe macho yetu kuona vizuri na tuone watu vizuri na sio kusema mchanga, visiki na miti nao wanaweza kua watu kama Lipumba anavyoona.

View attachment 1601984
Kwa wanao ijua Iringa vizuri, Mwembetogwa ni kijijini? Hawa ndio aina ya maprofesa ambao wanakatisha sana tamaa ya vijana wetu kuifikia ndoto hiyo ya uprofesa
 
Profesa Lipumba amesema anachokifanya ni kwenda maeneo ya vijijini ambako ndio kuna changamoto kubwa za wananchi na sio kukusanya watu kwenye malori na mabasi kuwapeleka kwenye mikutano kama vyama vingine.
anawakejeli wanaompa hela ya kampeni, ngoja wamteme
 
15 October 2020
Simiyu, Tanzania

ilani ya Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu


Ilani ya CHADEMA inazungumza mambo matatu muhimu yaliyo mtambuka kwa kugusa maisha yote ya waTanzania na inaonesha imekubalika na kuwa kimbilio la wengi kupata tamaa ya mabadiliko ya kweli baada ya 28 Oktoba 2020
 
Sijui akiingia kwenye blanketi yake usiku anajihesabu na kujitafakari kama anafanya kampeni au anazurura!!!
Umemaliza kazi , kuna watu vituko, hivi hasa anatafuta nini? I guess amepewa hela na CCM kwa ratiba maalum ya kuzunguka inabidi aikamilishe....
 
Mnahangaika na Lissu wakati Mgombea wenu yuko hoi kama gari ya mkaa, Trip Shamba Trip Gereji, hata hamshituki? hee
Huu ni Moja ya utunzaji mzuri wa gari lako.
Hasa kwa sisi tunao miliki magari yetu.
Gari lazime lichekiwe mara kwa mara buana.
 
Wakati huo huo Wanyamwezi wa Urambo wamemtosa Magufuli na kukimbilia kwa Jemadari Lissu
 
Wanasiasa huwa wana malengo ya mbali nje ya uchaguzi mkuu pia.
Unajua hapa anajipima uhai wa chama na kutafuta wanachama wapya.
Tunaweza kumbeza lakini anaeneza sumu ya chama chake mioyoni mwa watu.
Anakopita hatakosa wanachama wapya hivyo ni njia mojawapo ya kujenga chama hatimaye atakuwa na madiwani na wabunge baadae kuliko kutokwenda kabisa

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app

Ni kweli usemayo boss, ila wali wa kushiba unaounea mezani. Kwa idadi ya watu anaowapata hicho chama anachotaka kukijenga kutakuwa baada ya miaka 50. Huyo Lipumba miaka yote alikuwa anatembelea nyota ya Maalim Seif, sasa hivi ndio anajua hakuwa na mvuto wowote.
 
Ni kweli usemayo boss, ila wali wa kushiba unaounea mezani. Kwa idadi ya watu anaowapata hicho chama anachotaka kukijenga kutakuwa baada ya miaka 50. Huyo Lipumba miaka yote alikuwa anatembelea nyota ya Maalim Seif, sasa hivi ndio anajua hakuwa na mvuto wowote.
Lipumba amevunja rekodi Iringa kwa kuwa na watu wachache kams picha hiyo ni halisi, lakini maeneo snakusanya watu wengi.
Jamaa alipendwa sana tu miaka ya nyuma.
Lakini sasa Watanzania wanajua rangi yake halisi hawamthamini tena.
Kila upandacho utavuna hapahapa mkuu

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli usemayo boss, ila wali wa kushiba unaounea mezani. Kwa idadi ya watu anaowapata hicho chama anachotaka kukijenga kutakuwa baada ya miaka 50. Huyo Lipumba miaka yote alikuwa anatembelea nyota ya Maalim Seif, sasa hivi ndio anajua hakuwa na mvuto wowote.
Chadema yetu ilikuwa inatembelea nyota ya Dk Slaaa,sasa hivi tunavuna aibu,mashoga kama wewe ndio wapiga mbiu! Aibu kubwa sana.
 
Back
Top Bottom