Uchaguzi 2020 Profesa Lipumba: Wingi wa watu kwenye mikutano ya kampeni ya wagombea wengine wa Urais haunitishi

Uchaguzi 2020 Profesa Lipumba: Wingi wa watu kwenye mikutano ya kampeni ya wagombea wengine wa Urais haunitishi

Chadema yetu ilikuwa inatembelea nyota ya Dk Slaaa,sasa hivi tunavuna aibu,mashoga kama wewe ndio wapiga mbiu! Aibu kubwa sana.
Mdogo wangu kwa hii kazi yako unajichosha bure. Watu tulishaamua hatumtaki magufuli wenu.
Unajipa njaa ya bure tafuta shughuli ya kufanya.
 
Mdogo wangu kwa hii kazi yako unajichosha bure. Watu tulishaamua hatumtaki magufuli wenu.
Unajipa njaa ya bure tafuta shughuli ya kufanya.
Ahaaaa, wewe na nani mmemchoka? Mimi nipo Chadema ila nitamchagua kwa maendeleo ya Tanzania.
 
Halafu eti ni professor wa uchumi.
Si hata kama hujaenda shule unashtuka tu kama napoteza hela na time na iliobaki sio rafiki.
 
Ni kweli hatishiki! Yeye anaona yuko na maelfu ya watu wamemzunguka kila anakopita.

Kuna haja ya kula karoti na mboga za majani kwa wingi ili tuwezeshe macho yetu kuona vizuri na tuone watu vizuri na sio kusema mchanga, visiki na miti nao wanaweza kua watu kama Lipumba anavyoona.

Nae atakuja kusema kaibiwa kura zake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Ni kweli hatishiki! Yeye anaona yuko na maelfu ya watu wamemzunguka kila anakopita.

Kuna haja ya kula karoti na mboga za majani kwa wingi ili tuwezeshe macho yetu kuona vizuri na tuone watu vizuri na sio kusema mchanga, visiki na miti nao wanaweza kua watu kama Lipumba anavyoona.

Huyu mzee chizi Sana haoni Wala haelewi?
 
Back
Top Bottom