Profesa Muhongo: Siyo haki kutengeneza sanamu kama ishara ya kumkumbuka marehemu, ingejengwa taasisi ya huduma za kijamii

[emoji23][emoji23][emoji23]

Chagua moja...

[emoji241][emoji200]
Ama
[emoji482][emoji482][emoji1635][emoji481]
 
Ana point
Kina JK na Hayati Nyerere na BM wameacha foundations, tena mmakonde kaacha kumbukumbu ya afya kubwa, na JK.

Everyday is Saturday.............................. 😎
 
... ha ha ha! We jamaa ha ha ha! Eti jina la marehemu litukumbushe madhila ya udikteta!
 

Pole mwaya 🤣🤣🤣
 
Mkuu mambo yote hayo unaona ni madogo? Unadhani kumpiga risasi mbunge mchana kweupi ni Jambo dogo?
Huyu anastahili sanamu.
 

Safi sana maana historia ni somo muhimu na hili la lilotokea awamu ya tano litawafanya viongozi kuzingatia utawala bora na kuzingatia Katiba, uhuru na raia kuhakikishiwa hawataburuzwa tena.
 
Prof aliyenyamazishwa na std seven ameibuka Tena .Duuuu prof huna vitu vya kujadili yaani wewe ni personality kwenda mbele
 
Mkuu utatoka kijiba cha roho ,hata ufanyeje baada mwendazake ni shujaa wetu ,ni majizi,mafisadi tu ndio wanamuona mwendazake hajafanya kitu nchi. Uliona wapi miundo mbinu inajengwa bila bomoabomoa?
 
Ila Magu sjui alikuwa anamchukuliaje Samia. Kagawa majina kila kona lakini jina la Samia hakulipa hata kwa shule ya Msingi. Ila Mungu fundi sana.
 
Mkuu utatoka kijiba cha roho ,hata ufanyeje baada mwendazake ni shujaa wetu ,ni majizi,mafisadi tu ndio wanamuona mwendazake hajafanya kitu nchi. Uliona wapi miundo mbinu inajengwa bila bomoabomoa?
Wacha ujinga hakuwa na ushujaa wowote zaidi ya roho ya kwanini tu.
 
Kabisa, tungejenga campus ya UDSM pale chato nakuita JPM memorial collage, pale main entrance ndio tuweke sanamu yake,
 
Huyu mzee bado ako na uchungu na Marehemu.
Maslahi yake binafsi ya kuhujumu nchi yaliminywa na marehemu ndio maana alipinga kila mradi ulioanzishwa na merehemu kuanzia stigler gorge .

Duniani kote wakuu wa nchi walioacha alama za kudumu wamejengewa sanamu za ukumbusho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…