Profesa Muhongo: Siyo haki kutengeneza sanamu kama ishara ya kumkumbuka marehemu, ingejengwa taasisi ya huduma za kijamii

Jinyonge ufe au kaziibe hizo pesa ukajenge kwenu mwana izaya ww
 
Yaani huyu naye sijui vipi...professor mzima bado anaendeleza mapambano na marehemu...duh
 
Maslahi yake binafsi ya kuhujumu nchi yaliminywa na marehemu ndio maana alipinga kila mradi ulioanzishwa na merehemu kuanzia stigler gorge .

Duniani kote wakuu wa nchi walioacha alama za kudumu wamejengewa sanamu za ukumbusho.
Usiseme Marehemu Sema MWENDAZAKE. Nyambafuuuuu we!!
 
Wauza ngada na wenye vyeti feki wakiona jina la mwamba Jpm wanakohoa damu ..uzuri mtaani wananchi wanajua sana hila zenu siku hizi na data zenu za kuchemsha. Nani kama JPM???
 
Njemba hii bonge la kiazi......
huwa linakuwa na wivu na marehemu....
inasikitisha sana....
 
Wangenunua hata madawati wakayaita kwa jina la marehemu ingekuwa bora zaidi
 
Hii ni reply nzuri sana Toka kuanzishwa kwa JF.
 
Hapa tuchukue na lile gari la Tundu Lisu lilitobolewa na risasi tuweke kwenye hii maktaba/Taasis, Nguo za kina Alphonce Mawazo, Aqwilina Aquiline, Azory Gwanda,Ben Saanane nk,Kungekuwa na namna ule uwanja wa chato na huo msitu wa burigi tungeuweka ndani ya hiyo Maktaba/Taasis, Halafu mlangoni mwa Maktaba tuwakaushe Makonda na Sabaya wawe sanamu lake la ulinzi
 
Wauza ngada na wenye vyeti feki wakiona jina la mwamba Jpm wanakohoa damu ..uzuri mtaani wananchi wanajua sana hila zenu siku hizi na data zenu za kuchemsha. Nani kama JPM???
Acha ujuha! JPM na hata wa sasa wote ni nincompoops.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…