Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Huwezi kuwaona hapo, alafu wakiambiwa Magu alikuwa akilikubwa wana sema anaempenda akazikwe.Haya sasa ajitokeze aliyekua analalamika hadharani kuchomwa kwa vifaranga vya kenya wakati yeye kaviua vya beberu kwa njaa aiseee karma
MUDA UNAONGEA.