Mhadzabe
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 3,236
- 4,746
Tujifunze kufata utaratibuMamlaka za kibongo zina ukiritimba sana!!??
so vifaranga vimekufa kwa njaa!!?
Tujifunze kupanga mambo yetu vizuri kabla ya kuanza utekelezaji.
Tujifunze pia kujua "utamaduni" wa taasisi na vyombo vyetu vya maamuzi.
Haya yanaweza kutusaidia KUYOKUOATA HASARA zinazoweza kuepukika.