Profesa Nonga: Vifaranga 62,730 kutoka Ubelgiji vilivyokamatwa JNIA vyote vimefia Airport

Kama nawaona ofisini,
Lazima kila mtu alikuwa anaviulizia,
but kama kawa kila mtu anamsukukia uskani mwengine, no one taking action

Hasara
 
Siamini chochote kutoka hii serikali, kuna mtu kanyimwa 10% basi kaamua kumwaga mboga kakalia vibali,kila kona ya serikali imejaa huu utopolo
 
Mtu kashapiga hesab zake za makaratas. Mtaj 200m.. vifaranga 67k... Nikuza kila kifaranga elf3 sikos 800m
 
Mnaanza kushutumu mapema sbb vimekufa vingetuhusiwa na pakatokea magonjwa lawama zingeanza
 
Hapana, wizara Kwa njia rahisi ilitakiwa ithibitishe Kwa vipima hivyo vifaranga, zoezi la siku Moja , huo ni uzembe wa watumishi wa serikali, hovyo kabisa, hata huyo Mkurungenzi akili zake ni kama layman, kaenda airport bila watalaam.
Sheria inasema hivyo?

Taratibu za kuingiza vifaranga zipo, au hazipo, zilifuatwa?
Huyo Mkurugenzi ni mtaalam, huoni ni Profesa kabisa katika eneo hilo la mifugo?

Watu kama nyinyi ndio mnaopindisha kila kitu kwa matakwa yenu, bila ya kufuata taratibu tulizojiwekea zitumike.
Ilaumu hiyo kampuni, na baadhi ya matapeli walio wizarani, waliowadanganya na kukiuka taratibu za uingizaji wa hao vifaranga.
 
Sasa kukosa kibali ndio achukue uamuzi wa kuagiza vifaranga? Sawa huenda kunakosa kwenye mamlaka lakini kwann na yeye aagize bila kibali? Kunawakati mtu anajitafutia matatizo alafu mwishowe anakuja kutafuta lawama. Hata haya masikitiko na lawama za mtandaoni haziwezi msaidia.
 
Nimesoma The Citizen wwameandika:
1) Veterinary certificate inatakiwa kutolewa baada ya kibali cha uhagizaji. Lakini Phoenix Farm Limited walipewa kabla ya kibali kutoka.
2) Phoenix Farm Limited walipiga simu wizarani kuomba kibali lakini wizara ikasema haiwezi kutoa kibali kutokana bird flu.
3) Wizara ikawatafutia Phoenix suppliers wa ndani na walikuwa tayari ku supply idadi waliyokuwa wanataka ku import. Lakini Phoenix wakakataa.
 
Hivi huyu serikali ni nani na anaishi wapi....maana amekuwa chanzo cha matatizo mengi....na kwanini wananchi wenye nchi yao hawamuwajibishi au kumnyang'anya madaraka yake!?
 
Hii nchi ina ujinga mwingi kweli kweli. kufanya biashara hapa lazima uwe master wa kona kona vinginevyo unafilisika.
Kuna vitu lazima ufuate utaratibu na hasa mazao ya mifugo na ndege.Moshi Kilimanjaro wazalishaji wa vifaranga waliteketeza vifaranga baada ya kukosa soko la kuviuza huku wengine wanaingiza vifaranga uenda supply and demand ina shida au hakuna tarifa za kutosha kwenye uzalishaji na mahitaji ya ndani.
 
"Kuchoma moto vifaranga kutoka Kenya ulikuwa uamuzi mbaya". Sijui aliitoa nani hii kauli!!!
 
Wewe mgeni nchii hii au unahisi Kila mtu ni Mjinga Kama wewe?
Asante ndugu. Ila kumbuka vifaranga siyo kama nguo au spea za magari. Ni delicate goods. Unapoagiza lazima uhakikishe njia ni nyeupe, yaani makaratasi yakamilike.

Kuagiza vifaranga ni mchakato pia. Lazima uweke booking shambani, ujue siku ya kutotolewa, ujue na chanjo za mwanzo na siku ya kupakia.

Huwezi kuacha mayai kwenye incubator, huku ukijua ni siku 21, ndo uanze kushughulikia documents. Obviously hutatoboa. Maana muda utakuwa mfupi.

Ndo maana nasema, huyu mwagizaji alizoea short cuts. Na every short cut is a wrong cut. Huyu amezoea kupita airport kihivyohivyo tu. Ghafla amekuta mfumo umebadilika. Anayemjua kahamishwa au kagundulika mchezo wao.

Tunahitaji kukusanya mapato ndugu
 
Daah inamaana kulikuwa hakuna namna nyingine ya kusolve na hao walioleta hao vifaranga? Wenye mamlaka wanashindwa hata kutafakari vizuri kweli? Nikweli kabisa inawezekana waliowaleta walikosea kufuata utaratibu na sheria lakini nadhani kulikuwa na namna bora ya kusolve hili
 
Matatizo haya yanayosababishwa na mamlaka zetu ndiyo yanayofanya watu waamue kupitisha kinyemera biashara zao maana ukipitisha njia halal badala ya kusidiwa unpuuzwa
 
Huu uuwaji utakwenda na wengi. Sababu naona watu wanataka kumuharibia mama. Muda utasema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…