Usiulize kiwango cha elimu, uliza kiwango cha uelewa. Wengi munavyo vyeti vya elimu lakini uelewa ni mdogo kama unavyoonesha hapa, OK!Una kiwango gani Cha elimu. Sasa hapo vifaranga vilitakiwa kuteketezwa. Shida tupu
Kama huoni lolote la kujifunza kwenye mfano huo, basi uko chini sana. Hukutakiwa kushiriki mjadala huu. Yaani unadhani ni biashara ya mkaa wa Mkuranga? Unaishia kulalamikia control mechanism!