Buddy hii ni tanzia mbona umeenda mbali sana.Tanzania na nyuklia wapi na wapi, upotevu wa pesa na muda.
Tanzania na nyuklia wapi na wapi, upotevu wa pesa na muda.
Heri wafu wafao katika BWANA siku zote, wapate kupumzika.Prof Peter Msaki wa Nuclear physics amefariki dunia jana mchana. Kwa wale waliopitia physics department chuo kikuucha Dar es Salaam wanamjua jinsi alivyokuwa nguliwa fani hiyo
Tanzania na nyuklia wapi na wapi, upotevu wa pesa na muda.
Kweli kabisa mkulungwa labda nzu nzu nzu weeeee mamaaa nyukilia weeeee lakini sio ile nyuklia ya kina Albert Einstein au ya Los Alamos ya kina openweima.
we jamaa ndo unaaminigi yesu ni mweusiHeri wafu wafao katika BWANA siku zote, wapate kupumzika.
Ufunuo 14:13
Sio kweli unavyosema. Nuclear physics bado ni muhimu hapa TANZANIA. UNGEULIZA UAMBIWE. UNAJUA KWA NINI MBUN,GO (TSE TSE FLIES) WOTE ZANZIBAR WALIISHA?, AU UNAJUA JINSI YA UZALISHAJI WA mpunga ULIVYOINGEZEKA NCHINI. ULIZA MKUU SIO NUCKEAR WEWE UNAWAZA BOMUTanzania na nyuklia wapi na wapi, upotevu wa pesa na muda.
Sawa ndugu,mimi nilipitia pale NIT Mabibo..poleni sanaProf Peter Msaki wa Nuclear physics amefariki dunia jana mchana. Kwa wale waliopitia physics department chuo kikuucha Dar es Salaam wanamjua jinsi alivyokuwa nguliwa fani hiyo