Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
pumzika pema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
thank you a lotRIP professor Msaki
Pole kwa wafiwa na wote walioguswa na msiba
Ndio dizaini ya Msomaliwe jamaa ndo unaaminigi yesu ni mweusi
Tanzania na nyuklia wapi na wapi, upotevu wa pesa na muda.
mkuu humu kuna vihiyo wengi sana usikute aliyeandika hivyo ni muuza mitumba karume he knows nothing about physics wapotezee tuSio kweli unavyosema. Nuclear physics bado ni muhimu hapa TANZANIA. UNGEULIZA UAMBIWE. UNAJUA KWA NINI MBUN,GO (TSE TSE FLIES) WOTE ZANZIBAR WALIISHA?, AU UNAJUA JINSI YA UZALISHAJI WA mpunga ULIVYOINGEZEKA NCHINI. ULIZA MKUU SIO NUCKEAR WEWE UNAWAZA BOMU
hata kusoma physics ni kupoteza muda tuTanzania na nyuklia wapi na wapi, upotevu wa pesa na muda.
Mkuu unadhani nyuklia ni mabomu tu....Tanzania na nyuklia wapi na wapi, upotevu wa pesa na muda.
Akil mavi..unahis nuclear ni mabomu tu..Tanzania na nyuklia wapi na wapi, upotevu wa pesa na muda.
Hivi kivaisi nae alidanja ..mzee alikua msafi yuleGabagambi,Msaki,Mbwete,Mbunda.......
Mwaka huu tu hiyo
Nuclear plant kuwa nayo sio issue ya utaalam tu kuna swala LA kuruhusiwa kutokana na madhara yake ikiwa itawashinda,kulipuka Kama nuclear ya Chernobyl ilivyolipukaga.R.I.P. Tanzania hatujawahi hata tengeneza hata mabomu. Hatuna hata nuclear reactor moja. Too sad kumbe wataalam wa nuclear tunao. Sema hawaiaply.
Huna akiliTanzania na nyuklia wapi na wapi, upotevu wa pesa na muda.
Pathetickua na nuclear physist tz ni upotevu wa raslimali bila sababu ya msingi.... R.I.P prof.
Kufanya majaribio ambayo ww huyajui sheikhukiondoa kuwa mwalimu wa chuo kikuu, jambo gani kubwa alilofanya marehemu katika fani hiyo ya nuclear physics ambalo limeacha alama kubwa kwa taifa la tanzania?
NB: RIP prof. msaki.
Upuuzi huu bado upo tu? Hujui dunia iliko aisee pole sana, wadhani ukienda hosp ukaambiwa wapigwa x-ray unadhani ni nn kile? Ule mfano tuTanzania na nyuklia wapi na wapi, upotevu wa pesa na muda.