Nitafanya hivyo mkuu, wanakera hadi nashindwa kujizuia, kama kweli hawajui wangeuliza siyo kuleta kejeli kwa mtu aliyepata kuwa na mchango mkubwa kwenye tasnia ya elimu. Angekuwa mwanajeshi cheo chake ni general, na angekuwa mwanasiasa hadhi yake ni rais wa nchi, wakubali wakatae ila mchango wa wanasayansi unadharaulika sana. Ata siku tukiumwa ata tunamshukuru daktari aliyetutibu na kumsahau mwalimu aliyemfundisha kutibu.Usihangaike na hawa mazuzu....majority ni vilaza tu.
Wewe Mwenye Akili isiyo na Mavi hebu elezea Hiyo Elimu na sisi tuelewe la sivyo wewe ni zaidi ya hayo MAVI!Akil mavi..unahis nuclear ni mabomu tu..
Hazitengenezwi hapa kwa sasa lakini ni dhahiri tunahitaji elimu hiyo. Fikiria siku hizi ndiyo tumestuka kuanza kusomesha watu kuhusu mafuta na gesi. Kila taaluma ina umuhimu wakeMkuu kumbe MRI zinazo tupiga picha mahospitalini Tunatumia mionzi inayo tengenezwa apa
Na yule bingwa mwingine wa fani hiyo aliepewa umakamu wa rais yuko wapi siku hizi?Tanzania na nyuklia wapi na wapi, upotevu wa pesa na muda.
duh!!.basi sawa.Kufanya majaribio ambayo ww huyajui sheikh
aiseeee....basi sawa.Amefundisha vijana wengi pale Mlimani na kuwarithisha maarifa yake kwa ajili ya vizazi vijavyo. Amefanya utafiti na kuandika mawazo yake katika majarida mbalimbali na vitabu ili viendelee kusomwa na wapenda maarifa. Hakuna mchango mkuu unaozidi huu. Apumzike salama prof [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Leteni vitu tangible kama hivi, mfano unaingia Mall za majuu unakutana na picha ya mdada wa kibongo ana section yake ya mavazi na wewe unafeel proud na sio hadithi na vyeti visivyo na tija. View attachment 1646436View attachment 1646435
Mpunga uliongezeka kwa juhudi za wananchi kulima kwa bidii na soko kuwa kubwaSio kweli unavyosema. Nuclear physics bado ni muhimu hapa TANZANIA. UNGEULIZA UAMBIWE. UNAJUA KWA NINI MBUN,GO (TSE TSE FLIES) WOTE ZANZIBAR WALIISHA?, AU UNAJUA JINSI YA UZALISHAJI WA mpunga ULIVYOINGEZEKA NCHINI. ULIZA MKUU SIO NUCKEAR WEWE UNAWAZA BOMU
Na nyie WA kozi za udereva mnafata nini kwenye nyuzi kama hizi.................Sawa ndugu,mimi nilipitia pale NIT Mabibo..poleni sana
Tatizo ukisikia nuclear physics unawaza mabomu tu. Nuclear physics ni dhana pana sana. Kwenye kilimo, tiba, nishati mpaka kwenye hayo mabomu.Tanzania na nyuklia wapi na wapi, upotevu wa pesa na muda.
Sikatai lakini tuambieni wanabadilishaje maisha ya mtu wa kawaida, hizo theory za kwenye makatasi zipo nyingi tuu na zingine hazitekelezekagiTatizo ukisikia nuclear physics unawaza mabomu tu. Nuclear physics ni dhana pana sana. Kwenye kilimo, tiba, nishati mpaka kwenye hayo mabomu.
Umepewa mfano mdogo tu wa tiba wanayopewa wagonjwa mahospitalini kutumia x rays,ct scan na kutibu kansa kwa njia ya mionzi unataka nn tena??? Ulikuwa unataka prof aje akuletee chakula ww na mume wako hapo nyumbani ndo ujue amegusa maisha ya watu au hao wagonjwa sio "watu wa kawaida"Sikatai lakini tuambieni wanabadilishaje maisha ya mtu wa kawaida, hizo theory za kwenye makatasi zipo nyingi tuu na zingine hazitekelezekagi
Hiyo ni imported technologyUmepewa mfano mdogo tu wa tiba wanayopewa wagonjwa mahospitalini kutumia x rays,ct scan na kutibu kansa kwa njia ya mionzi unataka nn tena??? Ulikuwa unataka prof aje akuletee chakula ww na mume wako hapo nyumbani ndo ujue amegusa maisha ya watu au hao wagonjwa sio "watu wa kawaida"
Mkuu watakupa tabu sana hawa ndugu zakoUmepewa mfano mdogo tu wa tiba wanayopewa wagonjwa mahospitalini kutumia x rays,ct scan na kutibu kansa kwa njia ya mionzi unataka nn tena??? Ulikuwa unataka prof aje akuletee chakula ww na mume wako hapo nyumbani ndo ujue amegusa maisha ya watu au hao wagonjwa sio "watu wa kawaida"
What's your point then???Hiyo ni imported technology