TANZIA Profesa Peter Msaki afariki Dunia

TANZIA Profesa Peter Msaki afariki Dunia

Usihangaike na hawa mazuzu....majority ni vilaza tu.
Nitafanya hivyo mkuu, wanakera hadi nashindwa kujizuia, kama kweli hawajui wangeuliza siyo kuleta kejeli kwa mtu aliyepata kuwa na mchango mkubwa kwenye tasnia ya elimu. Angekuwa mwanajeshi cheo chake ni general, na angekuwa mwanasiasa hadhi yake ni rais wa nchi, wakubali wakatae ila mchango wa wanasayansi unadharaulika sana. Ata siku tukiumwa ata tunamshukuru daktari aliyetutibu na kumsahau mwalimu aliyemfundisha kutibu.
 
HAwa ndio Wazalendo Walikuwa na Elimu lakini hawakuthubutu kutengeneza Hata vibomu... maana tungewekewa vikwazo kama kule Irani na Korea...
 
Pumzika mzee wetu
Screenshot_2020-12-10-18-59-07.jpg
 
Mkuu kumbe MRI zinazo tupiga picha mahospitalini Tunatumia mionzi inayo tengenezwa apa
Hazitengenezwi hapa kwa sasa lakini ni dhahiri tunahitaji elimu hiyo. Fikiria siku hizi ndiyo tumestuka kuanza kusomesha watu kuhusu mafuta na gesi. Kila taaluma ina umuhimu wake
 
Amefundisha vijana wengi pale Mlimani na kuwarithisha maarifa yake kwa ajili ya vizazi vijavyo. Amefanya utafiti na kuandika mawazo yake katika majarida mbalimbali na vitabu ili viendelee kusomwa na wapenda maarifa. Hakuna mchango mkuu unaozidi huu. Apumzike salama prof [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
aiseeee....basi sawa.
 
Miaka kama 7 au 8 iliyopita ilikuwa ikisemwa nchi yetu ina watu watatu tu wenye PhD ya nuclear physics, watu hao ni makamu wa rais mstaafu Dr Bilal, mwingine yuko nje ya nchi kama sikosei alitajwa yuko Canada, na mwingine yupo hapa nchini.
 
Leteni vitu tangible kama hivi, mfano unaingia Mall za majuu unakutana na picha ya mdada wa kibongo ana section yake ya mavazi na wewe unafeel proud na sio hadithi na vyeti visivyo na tija.
IMG_20201210_113209.jpg
View attachment 1646435
 
Sio kweli unavyosema. Nuclear physics bado ni muhimu hapa TANZANIA. UNGEULIZA UAMBIWE. UNAJUA KWA NINI MBUN,GO (TSE TSE FLIES) WOTE ZANZIBAR WALIISHA?, AU UNAJUA JINSI YA UZALISHAJI WA mpunga ULIVYOINGEZEKA NCHINI. ULIZA MKUU SIO NUCKEAR WEWE UNAWAZA BOMU
Mpunga uliongezeka kwa juhudi za wananchi kulima kwa bidii na soko kuwa kubwa
 
Tanzania na nyuklia wapi na wapi, upotevu wa pesa na muda.
Tatizo ukisikia nuclear physics unawaza mabomu tu. Nuclear physics ni dhana pana sana. Kwenye kilimo, tiba, nishati mpaka kwenye hayo mabomu.
 
Tatizo ukisikia nuclear physics unawaza mabomu tu. Nuclear physics ni dhana pana sana. Kwenye kilimo, tiba, nishati mpaka kwenye hayo mabomu.
Sikatai lakini tuambieni wanabadilishaje maisha ya mtu wa kawaida, hizo theory za kwenye makatasi zipo nyingi tuu na zingine hazitekelezekagi
 
Sikatai lakini tuambieni wanabadilishaje maisha ya mtu wa kawaida, hizo theory za kwenye makatasi zipo nyingi tuu na zingine hazitekelezekagi
Umepewa mfano mdogo tu wa tiba wanayopewa wagonjwa mahospitalini kutumia x rays,ct scan na kutibu kansa kwa njia ya mionzi unataka nn tena??? Ulikuwa unataka prof aje akuletee chakula ww na mume wako hapo nyumbani ndo ujue amegusa maisha ya watu au hao wagonjwa sio "watu wa kawaida"
 
Umepewa mfano mdogo tu wa tiba wanayopewa wagonjwa mahospitalini kutumia x rays,ct scan na kutibu kansa kwa njia ya mionzi unataka nn tena??? Ulikuwa unataka prof aje akuletee chakula ww na mume wako hapo nyumbani ndo ujue amegusa maisha ya watu au hao wagonjwa sio "watu wa kawaida"
Hiyo ni imported technology
 
Umepewa mfano mdogo tu wa tiba wanayopewa wagonjwa mahospitalini kutumia x rays,ct scan na kutibu kansa kwa njia ya mionzi unataka nn tena??? Ulikuwa unataka prof aje akuletee chakula ww na mume wako hapo nyumbani ndo ujue amegusa maisha ya watu au hao wagonjwa sio "watu wa kawaida"
Mkuu watakupa tabu sana hawa ndugu zako
 
Hiyo ni imported technology
What's your point then???
So huko iran,russia, israel na Marekani mnakokusemea kila nuclear Physicist ana mashine yake aliyoigundua na kama hana then huyo alikuwa hana maana??ndo unachotaka kutuaminisha??
 
Back
Top Bottom