secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Poleni sanaApumzike kwa amani.
Nakumbuka aliwahi kuja shuleni kwetu kijijini sana mwaka wa 2000
Akiwa waziri.
Alikua kiongozi wa kwanza wa kitaifa kufika kwenye kata na tarafa yetu na kwa kipekee shuoe yetu
Alituchangia fedha na ujenzi wa madarasa, tukaanzisha mradi wa nguruwe.
Professor Sarungi.View attachment 3260406
Mwanasiasa mkongwe na waziri wa zamani Profesa Sarungi amefariki dunia
Habari hii imethibitishwa pia na mwanaye Maria sarungi pamoja na msemaji wa familia, Martin Leonard Obwago Sarungi.
View attachment 3260404
Sawa, wewe ni mwalimu wa lugha?Usiseme daima milele mkuu
Hivi wewe huwa unakuwaga na akili gani??Inawezekana Mzee Sarungi kafa mapema kutokana na matusi ya mwanae, takataka kabisa yule dada
Ni mwana familia huyo 😂Wewe ulisikia wapi habari hizo?
Mwakani alikua afikisha 90 , ajaliwe kupumzika kwa amaniView attachment 3260406
Mwanasiasa mkongwe na waziri wa zamani Profesa Sarungi amefariki dunia
Habari hii imethibitishwa pia na mwanaye Maria sarungi pamoja na msemaji wa familia, Martin Leonard Obwago Sarungi.
View attachment 3260404
Ataghafulilah,nguruena nwezi mtukufu huu walahApumzike kwa amani.
Nakumbuka aliwahi kuja shuleni kwetu kijijini sana mwaka wa 2000
Akiwa waziri.
Alikua kiongozi wa kwanza wa kitaifa kufika kwenye kata na tarafa yetu na kwa kipekee shuoe yetu
Alituchangia fedha na ujenzi wa madarasa, tukaanzisha mradi wa nguruwe.
Sorry mkuu, nimeongea kilicho tokea .Ataghafulilah,nguruena nwezi mtukufu huu walah
Kwani mzee hana watoto wa kiume wakamlea?Baba amelamba sana asali anatelekezwaje na mtoto wake
RIP Prof Sarungi, mzalendo wa kweli wa Tanzania. Ila ilaaniwe mbegu iliyokwenda kutunga mimba iliyo mzaa MariaView attachment 3260406
Mwanasiasa mkongwe na waziri wa zamani Profesa Sarungi amefariki dunia
Habari hii imethibitishwa pia na mwanaye Maria sarungi pamoja na msemaji wa familia, Martin Leonard Obwago Sarungi.
View attachment 3260404
Alikaaga upanga huyu miaka ya zamaniProfessor Sarungi.
Article Don.
RIP.
Hawa wazee hawakuibia Nchi, ndio maana Mungu amewapa muda mretuborn 1936 mzee kala sana chumvi
Hivi huyu maria kama kumbukumbu zangu zipo vyema aliwahi kusema humu babaake alimtelekeza na Hana mahusiano nae mazuri, vipi Leo awe msemaji wa familiaView attachment 3260406
Mwanasiasa mkongwe na waziri wa zamani Profesa Sarungi amefariki dunia
Habari hii imethibitishwa pia na mwanaye Maria sarungi pamoja na msemaji wa familia, Martin Leonard Obwago Sarungi.
View attachment 3260404
Vipi? Una wenge?Hivi wewe huwa unakuwaga na akili gani??
Tag uziHivi
Hivi huyu maria kama kumbukumbu zangu zipo vyema aliwahi kusema humu babaake alimtelekeza na Hana mahusiano nae mazuri, vipi Leo awe msemaji wa familia
RIP Profesa alikuwa kichwa kweli kweli....ila sasa Mtoto Feminist daa huzuniView attachment 3260406
Mwanasiasa mkongwe na waziri wa zamani Profesa Sarungi amefariki dunia
Habari hii imethibitishwa pia na mwanaye Maria sarungi pamoja na msemaji wa familia, Martin Leonard Obwago Sarungi.
View attachment 3260404