TANZIA Profesa Philemon Sarungi afariki Dunia

TANZIA Profesa Philemon Sarungi afariki Dunia

Apumzike kwa amani.
Nakumbuka aliwahi kuja shuleni kwetu kijijini sana mwaka wa 2000
Akiwa waziri.
Alikua kiongozi wa kwanza wa kitaifa kufika kwenye kata na tarafa yetu na kwa kipekee shuoe yetu

Alituchangia fedha na ujenzi wa madarasa, tukaanzisha mradi wa nguruwe.
Poleni sana
 
Apumzike kwa amani.
Nakumbuka aliwahi kuja shuleni kwetu kijijini sana mwaka wa 2000
Akiwa waziri.
Alikua kiongozi wa kwanza wa kitaifa kufika kwenye kata na tarafa yetu na kwa kipekee shuoe yetu

Alituchangia fedha na ujenzi wa madarasa, tukaanzisha mradi wa nguruwe.
Ataghafulilah,nguruena nwezi mtukufu huu walah
 
Hivi
View attachment 3260406
Mwanasiasa mkongwe na waziri wa zamani Profesa Sarungi amefariki dunia

Habari hii imethibitishwa pia na mwanaye Maria sarungi pamoja na msemaji wa familia, Martin Leonard Obwago Sarungi.

View attachment 3260404
Hivi huyu maria kama kumbukumbu zangu zipo vyema aliwahi kusema humu babaake alimtelekeza na Hana mahusiano nae mazuri, vipi Leo awe msemaji wa familia
 
Back
Top Bottom