Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 89 kafa mapema? Ni kweli ccm hawana akili ila wewe ni zezeta kabisa.Inawezekana Mzee Sarungi kafa mapema kutokana na matusi ya mwanae, takataka kabisa yule dada
Huyu Mzee na Maria hawaa njaa kama wasiraHuyo Maria si inasemekana alimteleeza Baba yake?
Alikaa Upanga wakati huo Muhimbili ni Muhimbili.Alikaaga upanga huyu miaka ya zamani
Iva
May he RIPLike serious bro ?
Huyu huwa ni mtu wa kusikia siku zoteWewe ulisikia wapi habari hizo?
Kwanini mkuu?Hili swali ni kitendawili kama sio kitendaguro. Mahasimu wanamlia rada tuView attachment 3260440
Prof. Sarusngi alisoma kwa Mtaala wa Cambridge? Au unamaanisha Middle school?Unataka kutuambia kwenye mtihani wa Kembriji, kombinesheni hizo enzi hizo zilikuwepo?
Sawa kijana wa ikuluAlikaa Upanga wakati huo Muhimbili ni Muhimbili.
Pia alifanya kazi karibu sana na mshua miaka hiyo.
Kichwani una urojo wa samadi ya nguruweMiaka 89 kama mapema? Ni kweli ccm hawana akili ila wewe ni zezeta kabisa.