Profesa Tibaijuka ameonesha msimamo wake dhidi ya mkataba wa DPW. Je, naye atafikiwa?

Profesa Tibaijuka ameonesha msimamo wake dhidi ya mkataba wa DPW. Je, naye atafikiwa?

we hata huelewei unachoandika, Tibaijuka ni wapi alimtukana mtu, wapi alieneza chuki, wapi alifanya uchochezi, acha kuchanganya mambo kwa maslahi yako ya hovyo. Tibaijuka alitoa maoni yake na wala hakuendlea na upuuzi km huo walioufanya hao wapuuzi. mmekosa pa kshika mpaka umhusishe mtu asiyehusika na huo upuuzi wenu. Muishi km raia wema, heshimuni sheria ya nchi, viongozi wetu wameapa kulinda sheria, ukileta upuuzi wao utashughulikiwa tu kwa mujibu wa sheria
Mheshimiwa Jaji.
Hebu tuoneshe wapi Dr. Slaa alimtukana mtu
 
Kwahiyo maandamano nikupindua Serikali? Du upuuzi mtupu, maandamano si yanafundishwa hata shuleni, ni njia mojawapo ya wananchi kudai haki yao.
Halafu unakuta mtu ana masters with flying colors.

Nchi imejaa kutiana hofu
 
we hata huelewei unachoandika, Tibaijuka ni wapi alimtukana mtu, wapi alieneza chuki, wapi alifanya uchochezi, acha kuchanganya mambo kwa maslahi yako ya hovyo. Tibaijuka alitoa maoni yake na wala hakuendlea na upuuzi km huo walioufanya hao wapuuzi. mmekosa pa kshika mpaka umhusishe mtu asiyehusika na huo upuuzi wenu. Muishi km raia wema, heshimuni sheria ya nchi, viongozi wetu wameapa kulinda sheria, ukileta upuuzi wao utashughulikiwa tu kwa mujibu wa sheria
Chuki ni nini na nini maana ya chuki?
 
Back
Top Bottom