Profesa Tibaijuka: Trump kusitisha misaada ARVs zitaadimika Afrika. African Union iitishe kikao maalum kuweka mkakati

Atavuruga mfumo wa afya, kuna magonjwa mengi yanategemea ufadhili toka marekani
 
Tatizo lingine hili
 
Kwanza hapa kama 20% ya watanzania watakata motooo!!Hawa ni wale waliokua wanachukua huduma.

Magendo ya hizi dawa yataongezeka.
Na maambukizi kwa watoto yataongezeka.

Ila watu sasa wataacha kujiachia maana ile ya kusema DAWA SI BURE ITAISHA
 

Attachments

  • BAAABA2E-5406-4CC1-B6F0-CEA2990310E7.jpeg
    690.3 KB · Views: 2
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…