Profesa Tibaijuka: Trump kusitisha misaada ARVs zitaadimika Afrika. African Union iitishe kikao maalum kuweka mkakati

Tulivo na akili za ajabu watasema mafuta ya mwamposa si yapo
 
Ni muhimu zaidi wananchi kukujiepusha na ngono zembe ili kuepuka usumbufu wa Ukimwi baada.🐒
 
Lengo lake ngozi nyeusi tusiwepo duniani abaki yeye na pua yake kama katuni
Nani kawaambia mlane kavu?

Shida yetu waafrica au ngozi nyeusi kiujumla hatupendi kuwa responsible kwa makosa au maamuzi yetu bali hutafuta mtu wa kumtupia lawama.

Kingine ngozi nyeusi tunajiona tunastahilu misaada, msaada sio haki yako ujue
 
Mkuu ukimwi unaweza kuushinda wakat kila siku watu wanawaza ngono tena wanasema kavu ndio mzuri mbaya zaidi mwenge ukianza watu wananyanduana mpaka sehemu za siri zinaomba samahan
 
Mimi nilliiona hili na nikawaonya watu,baada ya watu kusema kuwa sasa ngoma ni kama mafua tu, nikasema kwasababu sisi Waafrika ndio tunaongoza kuwa na wagonjwa wengi iko siku atatokea Racist mmoja huko....
 
Nani kawaambia mlane kavu?

Shida yetu waafrica au ngozi nyeusi kiujumla hatupendi kuwa responsible kwa makosa au maamuzi yetu bali hutafuta mtu wa kumtupia lawama.

Kingine ngozi nyeusi tunajiona tunastahilu misaada, msaada sio haki yako ujue
Taarifa mkuu

Sina ukimwi pili sio limbukeni wa chupi

Naendelea nahoja shida ni socialization iliyo fanyika tangu nchi za afrika zinapewa au kupata uhuru hakukuwa na maandalizi na pia hakukuwa na uwezeshaji wa watu kujifunza zaidi katika kutengeneza madawa leo hii wangetoa fursa viwanda vikubwa vya dawa vinjengewe afrika na kuwapa fursa nyingine now afrika wangekuwa na kiburi jiulize mafuta afrika yapo ila yanapatika kiwepesi?
 
As I said.

Bado unatupa lawama kwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…