TANZIA Profesa Tolly Mbwette afariki dunia

TANZIA Profesa Tolly Mbwette afariki dunia

Hata bila Bado unaendeleza matusi na kejeli kwenye mjadala...inawezekana umri wako ni mdogo Sana...na inawezekana kabisa uelewa wako ni wa kiwango Cha chini kabisa...kwa mawazo yako unadhani Kila anayetofautiana na wewe kimtazamo ni wa Lumumba...unaweweseka na hao unaowaita wa Lumumba...kuhusu kauli yako upuuzi na ujinga ni vema uanze kwanza kuwaambia hivyo wazazi wako waliokuzaa na kukulea...Anza kumwambia baba yako mzazi mjinga halafu uje kwa mama yako uliyenyoya ziwa na kumwambia mpuuzi na mjinga...baada ya hapo ndipo uanze kuwaambia wengine wapuuzi na wajinga...nadhani umenielewa dogo
Dogo acha kuhangaika namimi, hii serikali ya kigaidi inaua watu kupitia covid-19. Imeamua kuwatoa sadaka raia wake kwa UROHO WA MADARAKA.
 
Unaendeldza Tena matusi bila hata aibu? Kwa mawazo yako kila mwenye mawazo tofauti ni wa Lumumba...hayo ni mawazo mufilisi na ya mtu wa kiwango Cha c
Sinui nyie watu Sijui kinachoitwa Lumumba kinawafanya Nini...yaani mtu akiwa na mawazo tofauti na nyie eti ni Lumumba...dah...unafikiri wakoloni walivyotutawala walikuwa na wivu na sisi?! La hasha...walikuwa wanataka raslimali...na hivi Sasa mibeberu inataka kuendelea kutawala dunia kiuchumi...siyo suala la wivu hapa...hiyo mibeberu inataka tuwe tunaitegemea yenyewe tu for everything..
Umeandika mavi mavi tu hapa. Una akili ndogo sana wewe, hivi unadhani hali ya maambukizi iliyopo kwenye nchi jirani ni tofauti na hapa? Jinga we.
 
Jamani ni vimbweta sio vimbwete.

Well, atakumbukwa kwa suala la utafiti wake wa chupa za maji, ambao kimsingi ni kweli zinahatarisha uhai. Nakumbuka ilikua kwenye mwaka 2012 au 2013 kama sijakosea. Apumzike!
Wahaya wana akili Sana,mbona unavuruga? Vimbwete na mwenye jina ndo huyo prof.Mbwete.
 
Hahaha ndio maisha yalivyo, wote tumo duniani humu humu. Ningefarijika kuona waliosoma wanahamia sayari za mbali ili kutengeneza hizo class.

Mbona kuna ma professors wa music na hata mashahiri au nyie kwa tafsiri zenu mtu wa maana ni nani hasa?!

Tujifunze ku-value binadamu wote hata wale wenye mitindio ya ubongo, hakuna binadamu wa hovyo.

Sasa idiots na vilaza wanapaswa kuishi wapi au waishi vipi?! Social media haisemi ni intellectual peke yao ndio wanapaswa kuitumia.

Miziki yao mnaisikiliza lakini waimbaji mnawaita vilaza, hahaha jamani tujifunze kuvumiliana hanuna anayependa kuitwa idiot au kilaza.

Hata ukuwa na mali nyingi, akili nyingi,na elimu kubwa bado wewe ni binadamu kama asiyekuwa na mali au akili na elimu.

Tusiwe watu wa hivyo, tuheshimiane jamani.
Ninye Go umenena vyema.
 
Wahaya wana akili Sana,mbona unavuruga? Vimbwete na mwenye jina ndo huyo prof.Mbwete.
Hahahaha! Nimekua nasikia w/funzi wa vyuo wanaviita "vimbweta". Ila umenifanya nifanye perusal na kugundua ni wanafunzi walifanya kutohoa kutoka kimbwete kwenda kimbweta.

Prof. namfahamu kwa kazi zake na kama mwanajukwaa wa Yahoo group la Wanazuoni. Apumzike kwa amani.

Ubarikiwe!
 
Umeandika mavi mavi tu hapa. Una akili ndogo sana wewe, hivi unadhani hali ya maambukizi iliyopo kwenye nchi jirani ni tofauti na hapa? Jinga we.
This is a language of a deranged person
 
Hahahaha! Nimekua nasikia w/funzi wa vyuo wanaviita "vimbweta". Ila umenifanya nifanye perusal na kugundua ni wanafunzi walifanya kutohoa kutoka kimbwete kwenda kimbweta.

Prof. namfahamu kwa kazi zake na kama mwanajukwaa wa Yahoo group la Wanazuoni. Apumzike kwa amani.

Ubarikiwe!
Nami namtakia RIP prof.
 
This is a language of a deranged person
Siku nyingine usijaribu kabisa kujiingiza kwenye jambo usilo na uhakika nalo, ambalo unashabikia tu na kutukuza kwa sababu umepewa elfu saba na simu ya smartphone kwa kazi hiyo. Sawa sawa?
 
Mazishi ya Prof Mbwette yanaendelea hivi sasa kijijini Irambo Mbeya.
 
Prof........( nimesahau jina kidogo) alizindua kitabu chake cha Makuwadi wa soko huria siku hiyo hiyo Juma Nature alikuwa anazindua wimbo wake wa "Ugali", ukumbi ulijaa kwa Juma Nature kuliko kwa Proffessor.

Vitu vya hovyo ndio huthaminiwa na hii ngozi nyeusi
Prof. Chachage Seity Chachage.Nimekutana na mjukuu wake
 
Back
Top Bottom