TANZIA Profesa Tolly Mbwette afariki dunia

TANZIA Profesa Tolly Mbwette afariki dunia

... ni kweli kimeibuka kizazi kinachopenda kuishi maisha ya kufikirika badala ya halisi. Na hawa ndio waliotawala huko social media kwa mambo ya kipuuzi. Kama lile la Nigeria tuliletewa uzi humu linalala na mwanae wa kiume 7yrs chumba kimoja na wanaoga pamoja!
Jamani ndiyo globalization hiyo...ina faida na hasara...Sasa Sina hakika Kama hasara zimetawala zaidi au kinyume chake....post modenism scholars watueleze..
 
Corona bado IPO SANA we kijana, usilaumu Wahindi wa Agakhan bure. Ilaumu Serikali yako kwa kupuuzia na kulaghai wajinga kama ninyi kwamba COVID-19 imekwisha.
Ni kweli Corona Bado ipo tena Sana...lakini serikali haijasema kuwa imekwisha...
 
Aliyewahi kuwa Vice Chancellor wa Chuo kikuu Huria cha Tanzania Prof T Mbwette alifariki dunia jana jioni katika hospitali ya Aghakan.

Prof Mbwette alikuwa mwanataaluma mahiri katika fani ya uhandisi. Kabla ya kuwa VC Open University alifundisha kwa miaka mingi UDSM.

Wengine mtakumbuka viti viitwavyo vimbwete vyuoni. Yeye ndiye alibuni na kuanzisha viti hivi akiwa mhadhiri UDSM.

Apumnzike kwa Amani.


PROF. TOLLY SALVATORY AUGUSTIN MBWETTE

Prof. Mbwette
is a holder of a BSc. Engineering (Hons) degree specialized in Civil Engineering since 1981. He has gained a wide range of management experiences of higher education institutions at both micro and macro levels. He has for the last twenty nine years been a team leader of various multi-disciplinary research teams responsible for treatment of both drinking and wastewater treatment systems that rely on bio-systems.

He has a broad experience in management of higher education institutions initially through being an Associate Dean responsible for Research, Publications and Postgraduate Studies for three years in the former Faculty of Engineering at University of Dar es Salaam after which he assisted the UDSM Vice Chancellor in Coordinating the much acclaimed University of Dar es Salaam (UDSM) Transformation Programme for eight years between July 1994 and April, 2002. Prof.

Mbwette has also participated and been involved in co-ordination of a number of co-operation programmes between Europe and America and Universities in Africa ranging from East, Central and Southern Africa.


Prof. Mbwette has also gained experience in reform and/or transformation of a number of Organizations through re-design of organizational structures of a number of institutions and companies. He has led teams involved in institutional development of ten different Tanzanian and four regional institutions including AICAD Research Institute funded by JICA and East African Governments based in Kenya as well as The National University of Rwanda.

He has been involved in formulation of the National ICT Policies and Master plans in the higher education sector in Yemen and Ethiopia in collaboration with TU Delft and the Vrije University of Amsterdam (VUA) apart from his involvement in the school mapping project for primary schools in Tanzania.

Prof. Mbwette has been involved in the planning and implementation of ICT Projects in Tanzania. He has also participated in a number of regional efforts and conferences in application of ICT in the education Sector, including being the Secretariat of an African bandwidth investigation initiative sponsored by the four America foundations between the year 1999 and March 2002.

Moreover, Prof. Mbwette has vast experience in working with a number of public and private higher education institutions within and outside the country. In most of the work experiences, Prof. Mbwette has played the role of either a team leader or a co-ordinator thus clearly demonstrating his ability to work with a variety of teams.

Previous Positions Held
Prof. Mbwette has held various positions in higher learning institutions. Between January, 2004 and 12th April, 2005, he was Deputy Vice Chancellor (Academic) at the Open University of Tanzania. Since 13th April, 2005 to date, he is the Vice Chancellor, Open University of Tanzania following his re-appointment for a further five years with effect from 13th April 2010 .

He has been the Chairman of the IUCEA Governing Board for two years (2007-2009) and he was the Founder Chairman of TERNET Council between April 2007 and April 2010. Between December 2006 and December 2009, Prof. Mbwette was the Chairman of the Tanzania Commission for Universities (TCU).

He has been the Vice Chairperson of the Executive Board of the African Council on Distance Education (ACDE) between July 2008 and July 2011 as well as one of the two Vice Chairpersons of the IUCEA Governing Board from July 2008 to June 2010. From September 2009, Prof. Mbwette is an Honorary Advisor to the Commonweaith of Learning (COL). In July 2011, Prof. Mbwette was duly elected as the President of ACDE for a period of three (3) years.


Academic Qualifications

Institution:
University of Dar es salaam, Tanzania
Dates: 1977 - 1981
Qualifications: B.Sc. Engineering (Hons) [First Class]
Content: Civil Engineering

Institution: International Institute for Hydr. & Env. Eng., The Netherlands
Dates: 1981 - 1982
Qualifications: Dip. S.E. (Delft), [Distinction], M.Sc. equivalent
Content: International Course for San. Engineering
Institution: University of Dar es Salaam, Tanzania
Dates: 1982 - 1984
Qualifications: M.Sc. Engineering [Unclassified]
Content: Civil/Environmental Engineering

Institution: University of London, Imperial College of Science & Technology
Dates: 1985 – 1989
Qualifications: P.h.D (London), DIC
Content: Public Health/Environmental Engineering

Hawa ndio wasomi wanaotakiwa kwenye taifa maskini kama Tanzania! Yaani wanasoma, kisha wanasambaza elimu yao kwa Watanzania wengine badala ya hawa wehu ambao wakisoma, wanakimbilia kwenye siasa na wanacho-deliver huko, hakina tofauti na wanacho-deliver watu wa bachelor degree kushuka chini.

Rest In Peace Prof
 
Aliyewahi kuwa Vice Chancellor wa Chuo kikuu Huria cha Tanzania Prof T Mbwette alifariki dunia jana jioni katika hospitali ya Aghakan.

Prof Mbwette alikuwa mwanataaluma mahiri katika fani ya uhandisi. Kabla ya kuwa VC Open University alifundisha kwa miaka mingi UDSM.

Wengine mtakumbuka viti viitwavyo vimbwete vyuoni. Yeye ndiye alibuni na kuanzisha viti hivi akiwa mhadhiri UDSM.

Apumnzike kwa Amani.


PROF. TOLLY SALVATORY AUGUSTIN MBWETTE

Prof. Mbwette
is a holder of a BSc. Engineering (Hons) degree specialized in Civil Engineering since 1981. He has gained a wide range of management experiences of higher education institutions at both micro and macro levels. He has for the last twenty nine years been a team leader of various multi-disciplinary research teams responsible for treatment of both drinking and wastewater treatment systems that rely on bio-systems.

He has a broad experience in management of higher education institutions initially through being an Associate Dean responsible for Research, Publications and Postgraduate Studies for three years in the former Faculty of Engineering at University of Dar es Salaam after which he assisted the UDSM Vice Chancellor in Coordinating the much acclaimed University of Dar es Salaam (UDSM) Transformation Programme for eight years between July 1994 and April, 2002. Prof.

Mbwette has also participated and been involved in co-ordination of a number of co-operation programmes between Europe and America and Universities in Africa ranging from East, Central and Southern Africa.


Prof. Mbwette has also gained experience in reform and/or transformation of a number of Organizations through re-design of organizational structures of a number of institutions and companies. He has led teams involved in institutional development of ten different Tanzanian and four regional institutions including AICAD Research Institute funded by JICA and East African Governments based in Kenya as well as The National University of Rwanda.

He has been involved in formulation of the National ICT Policies and Master plans in the higher education sector in Yemen and Ethiopia in collaboration with TU Delft and the Vrije University of Amsterdam (VUA) apart from his involvement in the school mapping project for primary schools in Tanzania.

Prof. Mbwette has been involved in the planning and implementation of ICT Projects in Tanzania. He has also participated in a number of regional efforts and conferences in application of ICT in the education Sector, including being the Secretariat of an African bandwidth investigation initiative sponsored by the four America foundations between the year 1999 and March 2002.

Moreover, Prof. Mbwette has vast experience in working with a number of public and private higher education institutions within and outside the country. In most of the work experiences, Prof. Mbwette has played the role of either a team leader or a co-ordinator thus clearly demonstrating his ability to work with a variety of teams.

Previous Positions Held
Prof. Mbwette has held various positions in higher learning institutions. Between January, 2004 and 12th April, 2005, he was Deputy Vice Chancellor (Academic) at the Open University of Tanzania. Since 13th April, 2005 to date, he is the Vice Chancellor, Open University of Tanzania following his re-appointment for a further five years with effect from 13th April 2010 .

He has been the Chairman of the IUCEA Governing Board for two years (2007-2009) and he was the Founder Chairman of TERNET Council between April 2007 and April 2010. Between December 2006 and December 2009, Prof. Mbwette was the Chairman of the Tanzania Commission for Universities (TCU).

He has been the Vice Chairperson of the Executive Board of the African Council on Distance Education (ACDE) between July 2008 and July 2011 as well as one of the two Vice Chairpersons of the IUCEA Governing Board from July 2008 to June 2010. From September 2009, Prof. Mbwette is an Honorary Advisor to the Commonweaith of Learning (COL). In July 2011, Prof. Mbwette was duly elected as the President of ACDE for a period of three (3) years.


Academic Qualifications

Institution:
University of Dar es salaam, Tanzania
Dates: 1977 - 1981
Qualifications: B.Sc. Engineering (Hons) [First Class]
Content: Civil Engineering

Institution: International Institute for Hydr. & Env. Eng., The Netherlands
Dates: 1981 - 1982
Qualifications: Dip. S.E. (Delft), [Distinction], M.Sc. equivalent
Content: International Course for San. Engineering
Institution: University of Dar es Salaam, Tanzania
Dates: 1982 - 1984
Qualifications: M.Sc. Engineering [Unclassified]
Content: Civil/Environmental Engineering

Institution: University of London, Imperial College of Science & Technology
Dates: 1985 – 1989
Qualifications: P.h.D (London), DIC
Content: Public Health/Environmental Engineering


Upumzike kwa amani Prof. Tolly Mbwette.
 
Sio ujinga.kukosa elimu sio ujinga.huwezi kumfaham mtaalam wa magali kama huna gali.huwezi kuwafaham mafundi wazuri kama hujajenga.huwezi kuujua ukuu wa Mungu kama hujaingia kanisani au msikitini.hvyo wewe unamjua kwa sababu umesoma university. Sasa MTU aliyeishia la saba atamjuaje.labda awe jilani au ndugu.wanamziki wanajulikana sana kuliko hata marais wa nchi
Hadi sasa hujajua tatizo lilipo?
Ujinga
Maradhi
Umasikini
Komaa na hilo la kwanza
 
Ni kweli Corona Bado ipo tena Sana...lakini serikali haijasema kuwa imekwisha...

Kwa kutoweka wazi takwimu za athari wala maeneo athirika, serikali imewatoa kafara wengi.

Kama ilivyoitishwa listi ya wanaotutoka kwa changamoto za kupumua inaendelea kuhuishwa.

Maeneo yapi, mikoa ipi wazee na wenye magonjwa mengine wayaepuke?

Serikali mnaweka siri kwa maslahi yenu. Yaja siku ile you shall be held to account.

Kila jina litasomwa mbele zenu.

Pumzika kwa amani Prof. Mbwette.
 
Hii Agakhan hiii!! Yaani wengi wanaolazwa hapo wanakufa Why? Mmarangu Coach, Mze Makoi wa TRC Enzi hiyo, Mke wa Tale na Leo Prof Mbwete!! RIP Professor. Umetuachia urithi wa ViMbwete
Ulishaa kaa karibu na chumba cha maiti muhimbili ukaona maiti zinazolerwa pale?
 
Kwa kutoweka wazi takwimu za athari wala maeneo athirika, serikali imewatoa kafara wengi.

Kama ilivyoitishwa listi ya wanaotutoka kwa changamoto za kupumua inaendelea kuhuishwa.

Maeneo yapi, mikoa ipi wazee na wenye magonjwa mengine wayaepuke?

Serikali mnaweza siri kwa maslahi yenu. Yaja siku ile you shall be held to account.

Kila jina litasomwa mbele zenu.

Pumzika kwa amani Prof. Mbwette.
Sawa.....ila kutoa takwimu za Kila siku za Corona ni ujinga uliopitiliza...takwimu hazisaidii kuondoa Corona...virusi hivi vitaondolewa kwa kweka tahadhari namna ya kujikinga...kwa hili hata Mimi naona serikali ingeongeza bidii katika kutoa elimu...kwa mfano suala la uvaaji barakoa, kunawa mikono na sanitizing serikali. Iweke mkazo zaidi...Sasa hivi watu wengi hawavai barakoa...hapo hata Mimi naona serikali inakosea...lakini hili la takwimu it is a very stupid thing..mabeberu wanna ajenda zao...
 
Sawa.....ila kutoa takwimu za Kila siku za Corona ni ujinga uliopitiliza...takwimu hazisaidii kuondoa Corona...virusi hivi vitaondolewa kwa kweka tahadhari namna ya kujikinga...kwa hili hata Mimi naona serikali ingeongeza bidii katika kutoa elimu...kwa mfano suala la uvaaji barakoa, kunawa mikono na sanitizing serikali. Iweke mkazo zaidi...Sasa hivi watu wengi hawavai barakoa...hapo hata Mimi naona serikali inakosea...lakini hili la takwimu it is a very stupid thing..mabeberu wanna ajenda zao...

Kufikiri beberu ana agenda na takwimu zetu ili tujikinge na kifo kwa maslahi yetu ni jambo la kushangaza kuliko.

Kwa nini beberu awe katika hili wakati tukiwa hai ni sisi na tukifa ni sisi?

Inaingia akilini kweli?

Beberu hasa kwenye hili ni nani?
 
Kufikiri beberu ana agenda na takwimu zetu kuja kwetu ili tujikinge na kifo kwa maslahi yetu ni jambo la kushangaza kuliko.

Kwa nini beberu awe katika hili wakati tukiwa hai ni sisi na tukifa ni sisi?

Inaingia akilini kweli?

Beberu hasa kwenye hili ni nani?
Issue hapa ni kuwa kwanini wanakazania takwimu kuliko vingine...mabeberu au vicious, ni washenzi na savages...tunataka tupone...na siyo takwimu...mbona malaria watu wanakufa kwa siku kuliko Corona lakini hawasemi wanataka takwimu?
 
Sio ujinga.kukosa elimu sio ujinga.huwezi kumfaham mtaalam wa magali kama huna gali.huwezi kuwafaham mafundi wazuri kama hujajenga.huwezi kuujua ukuu wa Mungu kama hujaingia kanisani au msikitini.hvyo wewe unamjua kwa sababu umesoma university. Sasa MTU aliyeishia la saba atamjuaje.labda awe jilani au ndugu.wanamziki wanajulikana sana kuliko hata marais wa nchi
Jamaa kaandika Giggy money maarufu kwenye korido za vyuo vikuu kuliko marehemu Tolly
 
Issue hapa ni kuwa kwanini wanakazania takwimu kuliko vingine...mabeberu au vicious, ni washenzi na savages...tunataka tupone...na siyo takwimu...mbona malaria watu wanakufa kwa siku kuliko Corona lakini hawasemi wanataka takwimu?

Kuna kitu unakiruka mkuu. Kuna tofauti kubwa baina ya malaria na Corona. Hasa kwenye maambukizi.

Watu wakijua hali halisi na hasa maeneo athirika watachukua tahadhari hata za kutokwenda huko.

Kumbuka kuangalia Corona kwenye upande maambukizi zaidi kuliko hata kwenye kuugua. Wapo walio vulnerable zaidi hawa tunawalinda vipi bila takwimu na hali halisi?

Beberu? Hiyo ni janja janja tu mkuu ya kukwepa majukumu.

Wakufa ni sisi na wa kupona ni sisi. Beberu hana issue hapo tufe au tuishi that is upon us.
 
Ni kweli Corona Bado ipo tena Sana...lakini serikali haijasema kuwa imekwisha...
Acha upuuzi wewe, kazi kusifia ujinga ujinga tu. Hujawahi kumsikia magufuli anapongeza watu wasiovaa barakoa? Ungekuwa karibu yangu ningekunasana vibao, shenzy.
 
Kuna kitu unakiruka mkuu. Kuna tofauti kubwa baina ya malaria na Corona. Hasa kwenye maambukizi.

Watu wakijua hali halisi na hasa maeneo athirika watachukua tahadhari hata za kutokwenda huko.

Kumbuka kuangalia Corona kwenye upande maambukizi zaidi kuliko hata kwenye kuugua. Wapo walio vulnerable zaidi hawa tunawalinda vipi bila takwimu na hali halisi?

Beberu? Hiyo ni janja janja tu mkuu ya kukwepa majukumu.

Wakufa ni sisi na wa kupona ni sisi. Beberu hana issue hapo tufe au tuishi that is upon us.
Sisi tunakufa sawa...sibishi...ila mibeberu inakufa zaidi...hakuna janja janja ..takwimu zinatisha...italeta hofu..uchumi utakufa na ndicho mabeberu wanachotaka yaani uchumi wetu ufe...
 
Acha upuuzi wewe, kazi kusifia ujinga ujinga tu. Hujawahi kumsikia magufuli anapongeza watu wasiovaa barakoa? Ungekuwa karibu yangu ningekunasana vibao, shenzy.
Kwani huwezi ukaweka comment yako na kujadiliana bila matusi na kejeli?! You can't do that??... Kwani wewe hujamsukia Magufuli amisema tuendelee kuchukua tahadhari??
 
Kwani huwezi ukaweka comment yako na kujadiliana bila matusi na kejeli?! You can't do that??... Kwani wewe hujamsukia Magufuli amisema tuendelee kuchukua tahadhari??
Tahadhari gani wakati amekataza watu wasivae barakoa? Acha ubishi wa kijinga aisee, sio kila jambo la kusifia tu kama uko Lumumba.
 
Sisi tunakufa sawa...sibishi...ila mibeberu inakufa zaidi...hakuna janja janja ..takwimu zinatisha...italeta hofu..uchumi utakufa na ndicho mabeberu wanachotaka yaani uchumi wetu ufe...

Mkuu suala la kufa au kuishi siyo mashindano ya nchi na nchi.

Hudhani kuwa wazee na wenye magonjwa mengine wako kwenye hatari zaidi na hii ya kukumbatia taarifa?

Pana simba mtaani wanazurura. Ungependa kujua ni mitaa ya mkoa gani au haina shida ukakutane nao tu mbele kwa mbele?
 
Back
Top Bottom